Hayo mambo yapo.kuna kisa kimoja kilitokea huko kwa wenzetu kuna Mzee yaani mtu mzima alikuwa akifanya kazi kwenye kampuni flani..akawa anachat na mwanamke online na hawajahi kuonana akaja kugundua kuna kijana pale kazini anachati na mwanamke yuleyule anayechat nae yeye..akamuweka karibu kijana...
Hili suala niliongea na mtu juzi kwa muuliza hivi huu mpira unapanda au unashuka? Ukiangalia timu y brazil miaka ya nyuma golini kuna tafalel.kushoto caros kulia cafu.kati dunga.mbele bebeto.rivaldo.ronaldo..romalio hebu cheki hao watu wote wapo kikosi kimoja kwa wakati mmoja..wakati huo pesa...
hii si halal na mtume Mohamad s.a.w alikataza kitu hicho na vizuri kujua kabla ya majirio ya hizi dini christian na islam , watu walikuwa wanaabudu vitu vyao vingine hivyo kuna baadhi za dini zikabeda mambo ya kale na kuyatia katika dini mfano christmas day na ukristo hii sherehe ilikuwepo kabla...
Nafikiri kufeli au kufaulu kwa jambo, jicho la kwanza ni muhusika mwenyewe kupima matokeo kutokana na uwezo wake.inawezekana jicho la pili likaona matokeo ni mabovu lakini hiyo ni kutokana na uwezo wa jicho hilo,pili kuna Hila au kusudi ya mtu kutaka lake au kufikisha jambo lake kwa namna...
kila nikiliangalia hili sakata na jinsi Mh Ndungai avyoongea naikumbuka sana ile video akimpiga mtu bakora kipindi kile cha uchaguzi,hapo utaona kichwa yake iko vipi.CAG aende kusikia hicho wanachomuitia....lakini bunge halina jipya, mpaka sisi raia wa kawaida tunaona udhaifu wa bunge,udhaifu wa...
Nakunukuu ,,Jamani Tanzania ni yetu sote,,Hawa waita watu walitakiwa kulijua hili kuwa ,kila mtu akikaa kimya likizama tutazama wote,halafu tutaulizana kwa nini waliojua kuwa tutazama hawakusema mapema,na wataitwa siyo wazalendo kwa kushindwa kuliokoa taifa,na sasa wanasema kabla wanaitwa si...
United states federal prison budget is 80 billion US Dollar per yr,haya weka hiyo kwenye madafu halafu linganisha na bajeti yetu ya nchi nzima KWA MWAKA bila kusahau hiyo billion 80 za marekani ni bajeti ya wafungwa tu kwa mwaka,nadhani mengine MH HUWA ANAONGEA UTANI TU.
kwanza anza euro 1 ni sawa na shilingi 2,586, kwa hiyo euro 5 ni sawa na shillingi 12,931, imebidi niende jikoni kikazipime nilizokuwa nazo maana zile ya kujichotea mwenyewe,ni gram 380,ambazo hapa nazipata kwa euro 5,ukipiga hesabu uliyoambiwa ya elfu 7000 kwa gram jibu ni 2,660,000 kwa hiyo...
kwenye korosho kuna tatizo,haiwezekani nyumbani Tanzania kununua korosho iliyo tayari kwa kuliwa mtaani iwe ghali kuliko kuinunua korosho hiyo ulaya,ulaya korosho ya euro 5 ni sawa na korosho ya shilingi elfu 20 Tanzania wakati sisi ndiyo walimaji,hii si sawa,kuna tatizo mahali.
Naunga mkono hoja,huyu ni mmoja wa watu walionishawishi kujiunga na jamii forum, sijawahi kulipita bandiko lake na huwa nasoma bila kuruka hata mstari mmoja.Hongera kwake.
Wakati mwingine tatizo unakuwa nini wewe mwenyewe,hii dunia haina tatizo kabisa kama utaamua kufuata maadili na kujua NINI MAANA YA MAISHA ,HAPO UTAJUA NI VIPI UISHI.Hakuna kitu kizuri kama kuishi kwenye mstari.Halafu hutokata tamaa ,hiyo kauli ya kila kitu ni tatizo hiyo ni FED UP,mwenye...
Kwanza kabisa jua tafasiri ya dini,jibu ni mfumo wa maisha uliowekwa ili mwanadamu aufuate.swali nani aliyeuweka jibu ni mwenyezi Mungu .nini faida ,dini.Angalia madhara ya kila kilichokatazwa katika hii dunia,MADHARA YA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE,MADHARA YA ULEVI,MADHARA YA KAMALI,UZINZI,UONGO...
Hebu tuambie ulikuwa dini gani,ukweli tatizo siyo dini .Tatizo ni dini uliyokuwa unaitumikia,kuna masikini wengi tu na hawana dini na kuna watu wengi waliofanikiwa kimaisha ni waumini wazuri tu wa dini,ungefanya research ya kutosha sana kabla ya uamuzi wako usije rudi uzeeni kama mzee wetu...
kweli si mchezo,wanafanya watu wajipatie sifa za utabiri yaani kila baya linalotabiriwa basi na watawala wetu wanaenda kufanya vile vile,au labda wanafanya kusudi ya kwamba" si mnasema hivi basi tunafanya hivyo hivyo ili tuone mtafanya nini'' maana si kawaida hata kama ni kweli wamefoji vyeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.