Mvuta bangi alikua anaongea na mlaji miraa.
Mlaji miraa akauliza mvuta bangi kama india ni mbali na tanzania.
Mvuta bangi akasema ni karibu kwa sababu mkubwa wangu mhindi huja na baiskeli kila siku kutoka india asubuhi kazini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.