Recent content by fire and fury

  1. F

    JamiiForums Tanzania Wanahisa wa Tanzania breweries Ltd wakosa gawio

    Wanahisa wa kampuni ya TBL ambao gawio lao la mwaka hutoka tarehe 24 December kila mwaka wanahaha baada ya tarehe hiyo kupita bila kupata gawio. Kampuni hiyo mpaka leo haijatoa Maelezo. Kwa Wanahisa kwanini gawio halijalipwa licha ya mahesabu ya mwaka jana kuonyesha faida . Wanahisa wengi...
  2. F

    JamiiForums Tanzania TARURA na uzembe unaofanyika na mkandarasi Chato Street

    Mwezi wa sita sasa mkandarasi anawejenga njia ya maji taka hajafika hata mita mia. Inasemakana analindwa na wakubwa. Kachimba Mashimo mpaka kuta za fence za wakazi zinaanza kubomoka na hakuna kazi inayoendelea. Akiulizwa anasema yeye anakula na wakubwa hakuna wa kumgusa. Nchi hii imerudi...
  3. F

    JamiiForums Tanzania TBL The worst company to invest in

    To top it all dividends are doled out on the 24th of December like Father Christmas sweets. Which can’t do any good to any company which has to invest and expense by end of the year.
  4. F

    JamiiForums Tanzania TBL The worst company to invest in

    Tanzania breweries company on surface is one of Tanzania’s most profitable company. But deep under it’s shares haven’t traded for years under the pretext that they are resolving tax matters with the government. The Tanzania stock exchange has been silenced on this while shareholders are...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Uzembe mkubwa Tanesco Mwanza

    Siku ya pili leo waya zimekatika kwenye line ya kutoka Hindu hospital kwenda Bugando Hospital hapa Mwanza. Nyaya zinaning’inia na kuhatarisha maisha. Cha kushangaza gari la Tanesco emergency linapita maeneo hayo hayo. Ukiwauliza wanasema hawana taarifa rasmi. Ukipiga simu ya emergency...
  6. F

    JamiiForums Tanzania TARURA wako wapi?

    Haiingii hakilini kwamba maji yote yanayotokea mwananyamala, regent street yanaleta mafuriko mtaa wa Chato hata kama mvua ni manyunyu bila hatua zozote kuchuliwa. Hao TARURA wako wapi. Au ndiyo juhudi za kukwamisha kasi ya awamu ya sita.
  7. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Air Tanzania isiongeze flight kwenda Mwanza?

    Wakati huu wa Christmas wasafiri wa ndege kwenda Mwanza wanakosa ticket kwa kuwa ndege zimejaa. Hivi Air Tanzania hawaoni fursa ya biashara kuongeza ndege?
  8. F

    JamiiForums Tanzania Barabara ya Hospitali ya Kairuki ina matatizo gani?

    Miezi miwili sasa kumewekwa kifusi hakuna kinachoendelea kwenye shimo.nyuma yake mkandarasi alikuwa anajenga mitaro sasa hivi kasimama. Alternative road nyuma ya hospitali ya Kairuki kuna mashimo balaa. Waziri yupo.TARURA wapo.nini kinaendelea wanyonge tunapata taabu?
  9. F

    JamiiForums Tanzania Plot4Rent Natafuta yard ya kukodisha au kununua

    Asante kamanda.
  10. F

    JamiiForums Tanzania Tunauza eneo kubwa Heka 23 Bagamoyo road

    Sehemu gani?
  11. F

    JamiiForums Tanzania Plot4Rent Natafuta yard ya kukodisha au kununua

    Natafuta yard ya kupaki magari ya mizigo ukubwa nusu acre mpaka acre nzima.Karibu na bandari au bagamoya road mpaka bunju.
Back
Top Bottom