Unaweza mfundisha mwenyewe kusoma na kuandika kuepuka gharama zingine afu ukamfungulia biashara aendeshe, matajiri wengi hawajasoma sana, kupanga ni kuchagua.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Bima ya watoto ile ya 50400/= kwa mwaka imeondolewa, kwa sasa ukitaka bima utapaswa kusajili kwa vikundi vya watotobkadhaa(sifahamu wangapi), fuatilia shuleni anakosoma mwanao waweza jua wanaohitaji ili mjiunge.
Mleta mada kuna mahala hujaelewa vizuri,
Somo la Civics na General study yatafutwa ila kuna somo la Historia ya Tanzania na maadili ndio litakuwa na maudhui ya hayo masomo yaliyofutwa.
Lakini pia bado haujapitishwa, imetolewa kama maoni kwanza, ili wadau wapitie watoe maoni yao na kukosoa...
Bei inategemea na eneo, huku mjini mtoto wa sekondari analipa 30k kwa mwezi masomo matatu inategemea lkn na eneo husika na aina ya mtoto.
Advance tumia uzoefu wako kipindi unasoma ilikuwaje bei, mara nyingi hapo bei huwa per topic ama sub topic lkn bei pia itaendana na eneo
Linafutwa lakini maudhui yake yatakuwa katika somo la Historia ya Tanzania na maadili.
Hata hivyo bado haijawa rasimi inaweza kupingwa na wadau wa elimu, tusubiri
Iko vizuri na hongera, ila nimejaribu kuwaza hivi;
Vipi kwa kazi ambazo hazijatangazwa! Mfano mtu katoka chuo hana experience na anaomba kazi japo hakuna tangazo la kazi hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.