Recent content by filadelfia

  1. F

    Mahakama Kuu yafuta kesi ya madai dhidi ya Askofu Kakobe kwa kukosa mashiko

    Watashindana, lakini hawatashinda........LUSEKELO
  2. F

    Kuna tatizo gani uchaguzi usifanyike Jumapili?

    Mimi nilinunua T-Shirt hiyo kwa bei sawa na bure, ya Shilingi 3500, na nilikuwepo Jumapili kwenye maombi hayo maalum. Ujumbe uko wazi: Kilichoifanya Serikali kupanga Siku ya kupiga Kura ya Maoni kuwa siku ya Alhamisi 30.4.2015, ndicho hichohicho kiwasukume kupanga siku ya Uchaguzi Mkuu kuwa siku...
  3. F

    Kakobe aeleza mambo matatu ya msingi ili Uchaguzi uwe huru na wa haki

    Askofu Kakobe hajasema kutakuwa na maandamano, waumini watavaa TShirt hizo kama nguo zao tu za kawaida, bila haja ya maandamano yoyote, na ujumbe utafika!
  4. F

    Kakobe aeleza mambo matatu ya msingi ili Uchaguzi uwe huru na wa haki

    Katika Ibada ya Christmas 25.12.2014, Askofu Kakobe alisema wakati wa Bunge la Katiba, CCM ilikuwa tayari kufuata kura chache Mecca, Saudi Arabia, kwa kutafuta maslahi yao, lakini siyo kwa sababu inafurahia kuona kila Mtanzania mwenye sifa ya kupiga kura, anapiga kura, ndiyo maana kuna mizengwe...
  5. F

    Ndoto "mpya" ya kakobe yaitesa ukawa!

    Moderator, Mtoa mada ameandika hapa UONGO WA MWAKA. Mimi nilikuwepo katika Ibada ya leo kwa Kakobe, na Askofu Kakobe hakuzungumzia hata neno moja la siasa au lenye "implication" ya kisiasa. Muda wote amezungumzia umuhimu wa Wakristo kuhubiri pia Injili mahali pengine mbali na eneo la nyumbani...
  6. F

    Kuiomba Tanganyika ni kuenzi ukoloni

    Na hata tarehe 26.4 kwenye sherehe za Muungano, huwa tunaona aibu kusema ni siku ya Muungano wa nchi za TANGANYIKA na Zanzibar! Watanganyika nani kawaroga, na aliyewaroga yupo hai kweli, au alikwisha kufa?
  7. F

    Wajumbe bunge la katiba: Mpokeeni Amos Wako kwa tahadhari kubwa

    Huyo alikuwa "counterpart" wa Chenge. Analetwa na Chama Cha Magamba, ili kudanganya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba. UKAWA, beware!!!!!!!!!!!!!
  8. F

    Askofu Kakobe kufanya Maombezi Maalum ya Mwaka mpya, MAOMBI KUMI

    Mwenye mapepo ni wewe! Tena una pepo Legioni, fanya haraka ukaombewe au siyo unaweza ukajikuta unaokota makopo!
  9. F

    The Citizen You Can't Be Serious!! Nyie ni Gazeti Makini!!

    Kweli kabisa! Hata mimi jana Jumapili 14.4.13 nilikwenda Kanisa la FGBF kule Mwenge. Uongo wa gazeti la CITIZEN umedhihirika, wamevuliwa nguo hadharani! Kumbe gazeti la CITIZEN siku hizi nalo limekuwa gazeti la udaku! Kakobe alikuweko Kanisani, na alikuwa amevaa suti ya rangi ya kijivu, na shati...
Back
Top Bottom