Recent content by Fikrazangu

  1. Fikrazangu

    Awamu yenye mikono inayonuka damu

    Awamu ya Tano inanuka Damu! Kitu pekee walichoweza kuchunguza ni siku ambazo T. Lissu hakuwepo bungeni. Ila wasiojulikana mpaka leo imeshindikana. HAKI YA MNYONGE HAIPOTEI HATA KAMA ITACHELEWESHA.
  2. Fikrazangu

    Geita: Kangi Lugola, awasimamisha kazi Mkuu wa Polisi Wilaya (OCD), Mkuu wa Kituo cha Polisi(OCS)

    Waziri Kangi Lugola amewasimamisha kazi mkuu wa Polisi, mkuu wa kituo cha Polisi na mkuu wa upelelezi wa Wilaya ya Geita kutokana na mahabusu kutoroka mahakamani. Pia ameelekeza askari 8 wa kituo hicho wawekwa mahabusu.
  3. Fikrazangu

    Fahamu Miongozo kwa Wakaguzi wa Mifuko ya Rambo

    Imekua kawaida binadamu akipewa madaraka kutumia fursa hiyo kukandamiza wengine. Kufukia Juni 1 mifuko ya Rambo haitatakiwa kutumika tena. Kuna watu wamepewa dhamana ya kukagua mifuko ya rambo sehemu mbalimbali. Nimeona niwasogezee kanuni wanazopaswa kuzifuata Wakaguzi hawa ili kila mwananchi...
  4. Fikrazangu

    Wazazi wa Azory Gwanda Wazungumza.

    "Tunaishi maisha ya shida na ufukara mkubwa tangu Azori alipotoweka, familia haina msaada na hatujui kama yupo hai au alikufa, tunaomba Rais (John Magufuli) atusaidie mtoto wetu apatikane."- Mama Mzazi wa Mwandishi Azory Gwanda, Eva Mpulumba (85) Serikali ya Wanyonge inawezaje kuishi na vilio...
  5. Fikrazangu

    Azory’s parents appeal to Magufuli for probe

    "Tunaishi maisha ya shida na ufukara mkubwa tangu Azori alipotoweka, familia haina msaada na hatujui kama yupo hai au alikufa, tunaomba Rais (John Magufuli) atusaidie mtoto wetu apatikane."- Mama Mzazi wa Mwandishi Azory Gwanda, Eva Mpulumba (85) Serikali ya Wanyonge inawezaje kuishi na vilio...
  6. Fikrazangu

    Ukatili wa Polisi dhidi ya Raia

    UKATILI WA POLISI DHIDI YA RAIA NINI KIFANYIKE KUTOKOMEZA? FIKRA ZANGU Ukatili wa jeshi la polisi dhidi ya raia Mwanaharakati mmoja nchini Marekani kwa jina Alfred Charles Sharpton aliwahi kusema hivi; “Many in our community have to live in...
  7. Fikrazangu

    Kuota kwa kokwa la tatu ndani ya korodani!

    Shukrani Sana mkuu! Nitazingatia hili.
  8. Fikrazangu

    Kuota kwa kokwa la tatu ndani ya korodani!

    Habari zenu wana JF?! Nina tatizo la kiafya nalo ni kuota kwa kokwa la tatu ndani ya korodani. Kama tunavyofahamu, korodani huwa na kokwa mbili. Hivi karibuni nimeanza kuhisi kuota kwa kokwa la tatu upande wa kushoto. Kokwa hili nikiliminya kidogo linaleta maumivu. Nimejaribu kugoogle na...
  9. Fikrazangu

    Kuota kwa kokwa la tatu ndani ya korodani!

    Habari zenu wana JF?! Nina tatizo la kiafya nalo ni kuota kwa kokwa la tatu ndani ya korodani. Kama tunavyofahamu, korodani huwa na kokwa mbili. Hivi karibuni nimeanza kuhisi kuota kwa kokwa la tatu upande wa kushoto. Kokwa hili nikiliminya kidogo linaleta maumivu. Nimejaribu kugoogle na majibu...
  10. Fikrazangu

    Evarist Chahali: Kuna kiongozi wa nchi jirani ana "compromising information" kuhusu kiongozi mmoja "Mkubwa"

    Mi nadhani wewe unahitaji kumuona daktari kuu, kisha onana na mkemia mkuu akupime mkojo
  11. Fikrazangu

    Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

    Being colonised is not a factor for being weak. Kumbuka hata mmarekani alitawaliwa na Mbritish kabla ya kupata uhuru wake 1776. Angalia Marekani alipo sasa! Kamuacha mbritish kwa maendeleo.
  12. Fikrazangu

    Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

    Mkuu umeibua hoja nzuri sana. Nataka nikufahamishe tu kuwa kama tukitazama kwa hoja yako hiyo ya Upendeleo basi Mungu alitupendelea maarifa sisi waafrika ila tu hatuna juhudi hasa kizazo hiki cha sasahivi. Mwandishi Walter Roodney aliwahi kuandika kitabu cha HOW EUROPE UNDERDEVELOPED AFRICA...
  13. Fikrazangu

    John Pombe Magufuli: Kiongozi pekee barani Africa mwenye hotuba zenye mvuto zaidi kwa wananchi wake kwa sasa

    Unapozungumzia hotuba nzuri sijui unazingatia vigezo gani. Namkumbuka idd Amin, Adolf Hitler na Musolin. Hawa walikuwa na hotuba zilizoshika masikio ya wengi lakini historia inajieleza ni nini kilizipata nchi zao kutokana na utawala wao. Kuna tofauti kati ya hotuba ya kiongozi na hotuba ya...
Back
Top Bottom