Recent content by Fight ClimateChange

  1. Fight ClimateChange

    Najibu hoja za ndugu Humphrey Polepole kuhusu mwelekeo mpya wa nchi yetu

    Nakupata lakini jua tu kuwa sijaamua kuzungumza kama mwanasiasa. Nimejibidisha sana kusoma historia za nchi mbalimbali kiuchumi. Nchi zote zimeendelea kwa namna moja tu ambayo sisi hatutaki kuifuata. Soma Japan ilivyoweza kuwa kinara wa automobiles mbele ya watu walioanzisha technolojia hiyo...
  2. Fight ClimateChange

    Najibu hoja za ndugu Humphrey Polepole kuhusu mwelekeo mpya wa nchi yetu

    Ni kweli unachosema lakini unakuwa na nguvu pale tu unapojitegemea. Sisi hatujafika kiwango cha kujitegemea nakuwa na nguvu ya kuwa na kiburi. tunahitaji vitu vingi toka kwa wenzetu. Kama misaada inavyohitajika kuja kwetu basi na dhahabu zinahitaji kwenda zinakotakiwa duniani. Huo ni utaratibu...
  3. Fight ClimateChange

    Najibu hoja za ndugu Humphrey Polepole kuhusu mwelekeo mpya wa nchi yetu

    hahahaaaaa. ni kijana fulani hivi mzee. mchanganyiko
  4. Fight ClimateChange

    Najibu hoja za ndugu Humphrey Polepole kuhusu mwelekeo mpya wa nchi yetu

    Hoja kuu ya Polepole ni unyonyaji na ukandamizaji unaofanywa na nchi za Magaribi (Ulaya na Marekani) kwa nchi masikini kama zetu. Ni kwa bahati mbaya sana ndugu Polepole anazungumza kama mpigania uhuru wa miaka ya 60. Polepole anapaswa kufahamu kwamba hakuna mtu atakeyetoka nje ya nchi yetu...
  5. Fight ClimateChange

    CAG anapaswa kujiuzulu kwa kukiuka utaratibu

    HUJUI UTARATIBU BWANA. ACHA KUTUSUMBUA
  6. Fight ClimateChange

    Rais kuitwa mtukufu na kuabudiwa hadharani bila kukemea inaashiria nini?

    sasa kama viongozi wa dini waliokufunza hizi busara za kimungu wanasujudu unadhani sisi tufanyeje? Nasi tutasujudu mpaka Mungu atuondoe kwenye dhambi
  7. Fight ClimateChange

    Covid-19: Huu mgomo wa Umma kwa Rais wao utaliponya Taifa

    Mimi naona akili yako wewe ni ndogo sana ndio maana unahisi umezidiwa sanaa na mkuu. ukiwa na akili kama sisi wengine utajikuta unalingana na hata huyo. Anza kusoma vitabu ila cha muhimu zaidi acha ushamba
  8. Fight ClimateChange

    Mwanamke anayepata vitu hivi na bado anachepuka ana majini

    ukitaka uishi na mwanamke kwa raha uwe unamsababishia taabu kwa muda wa mwezi kisha raha miezi mitatu. cycle iwe hvyo mpaka azae watoto 5 na kuzeeka. vinginevyo hawapendi raha hawa
  9. Fight ClimateChange

    Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

    ROHO YA WEWE JAMAA NI YA KICHAWI. NA SIDHANI KAMA KUNA MCHAWI ANAYEKUZIDI WEWE. MTU ANAWAFUNGA WAZUNGU KIASI HIKI WEWE BADO HUONI? WIVU KAMA HUO UTAKUFANYA UFE MAPEMA
  10. Fight ClimateChange

    Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

    TOKA NIZALIWE SIJAWAHI KUONA KENGE KAMA WEWE. MTU ANAPIGA GOLI MBILI UGENINI DHIDI YA BESKITAS BADO HUONI KUWA NI SUPER? HIVI ROHO YA WIVU KAMA ULIYONAYO WEWE IPO MAHALA PENGINE DUNIANI? UNAKERA SANA. WEWE NI MCHAWI
  11. Fight ClimateChange

    Hawa ndio vijana wa Kitanzania

    yote haya unayafikiria kwakuwa umekosa kazi ya kufanya. serikali ikazane kufungua fursa kwa viajana maana ubongo wote huo unautumia kufanya filosofi zisizo na msaada
  12. Fight ClimateChange

    Video: Boeing 757-2Q8 inayobeba abiria zaidi ya 200 ikitua na kupaa uwanja wa kimataifa TACV praia Cape verde

    soma kwanza ndipo uje na mshangao wako. unajua ukubwa wa viwanja unavyofananisha?
  13. Fight ClimateChange

    Video: Boeing 757-2Q8 inayobeba abiria zaidi ya 200 ikitua na kupaa uwanja wa kimataifa TACV praia Cape verde

    wewe ni muhanga wa tatizo la kukosa kazi. pole. jibidishe acha porojo. hazikusaidii. unajiumiza bure
  14. Fight ClimateChange

    Video: Boeing 757-2Q8 inayobeba abiria zaidi ya 200 ikitua na kupaa uwanja wa kimataifa TACV praia Cape verde

    Mijadala kama hii inatokana na ukosefu wa ajira. vijana wanajadili ujinga kama huu. kwahiyo mnalazimisha Dreamliner kwenda? serikali imeangalia mambo mengi bila shaka. nyie mnaangalia myopically
Back
Top Bottom