Ivi nini maana ya kuwa na chama kisichoangalia madhumun ya kuanzishwa kwake na kazi zake ukweli CWT kuanzia mwez ujao hachen kukata ela yetu maana kazi mnayoifanya in tofauti na tuliyowatuma mkafanye sjajua mlienda hapo madarakan kufanya nini.
Tambueni na elewen why mko hapo mnakula ela yetu...
Matokeo yake watayapata tu huwez kumnyima mshahara unaostahili mwalimu alafu ukategemea matokeo mazuri.UKIPANDA KUNDE UTAPATA KUNDE SIO MBAAZI
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatutaki matatizo tunadai haki yetu ukweli namtamani Magufuli afanye kile Alichofanya Gadaf Libya mikataba yote ya madini avunje bora tuwalipe sisi ili tuanze upya
Barafu kaka ukweli nakupongezaa saaana na Mungu aendelee kukupa nguvu,akili,na utashi katika kazi zako.Nakuomba saaana utupe kidogo hali ya huko Canada kuhusu hili ili tujue na huko pakojeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.