Recent content by Fidelis Gregory

  1. Fidelis Gregory

    Sioni manufaa ya vyama vya wafanyakazi

    Ivi nini maana ya kuwa na chama kisichoangalia madhumun ya kuanzishwa kwake na kazi zake ukweli CWT kuanzia mwez ujao hachen kukata ela yetu maana kazi mnayoifanya in tofauti na tuliyowatuma mkafanye sjajua mlienda hapo madarakan kufanya nini. Tambueni na elewen why mko hapo mnakula ela yetu...
  2. Fidelis Gregory

    Julai 2017: Nyongeza za mishahara na kupandishwa vyeo - Kilio cha Watumishi wa Umma

    Matokeo yake watayapata tu huwez kumnyima mshahara unaostahili mwalimu alafu ukategemea matokeo mazuri.UKIPANDA KUNDE UTAPATA KUNDE SIO MBAAZI Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Fidelis Gregory

    Bango lililomkasirisha Magufuli huko Kasulu Kigoma na mbebaji kuishia korokoroni

    Mmmh nani asiyependa kazi yake Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Fidelis Gregory

    Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma hawajapata mshahara

    Kweli hapo kunatatizo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Fidelis Gregory

    Julai 2017: Nyongeza za mishahara na kupandishwa vyeo - Kilio cha Watumishi wa Umma

    Kufundisha ni kucheza na kucheza ni kufundisha.*KAULI MBIHU Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Fidelis Gregory

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha sita 2017

    Web ip ndg Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
  7. Fidelis Gregory

    Waliobarikiwa Fedha za 'Escrow' Wazirudishe Mapema.. Labda.. na Labda...

    Washaanza kuzirudishe Ngereja tyar Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
  8. Fidelis Gregory

    Picha: JKIA Terminal 3 imejengwa kama banda la kuku lililogharimu shs. Billioni 560

    Mtoa post hujui maaana ya hicho kinachojengwaaaa kaaa kimyaaa
  9. Fidelis Gregory

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    Watanzania kuwen na akili wangekuwa wamekubali au kukataa isingekuwapo sababu ya kuunda kamati za kukutana.KUWENI WAVUMILIVU mtapata majibu
  10. Fidelis Gregory

    Ombi rasmi kwa CCM: Maandamano ya nchi nzima ya kumuunga mkono Rais wetu yaandaliwe

    Alikuwepo ila tambua alikuwa Hana final say hvyo kwasasa ndo tunaweza kumjadili
  11. Fidelis Gregory

    Huko majuu, Canada, makenikia yameleta balaa...... !

    Hatutaki matatizo tunadai haki yetu ukweli namtamani Magufuli afanye kile Alichofanya Gadaf Libya mikataba yote ya madini avunje bora tuwalipe sisi ili tuanze upya
  12. Fidelis Gregory

    Huko majuu, Canada, makenikia yameleta balaa...... !

    Barafu kaka ukweli nakupongezaa saaana na Mungu aendelee kukupa nguvu,akili,na utashi katika kazi zako.Nakuomba saaana utupe kidogo hali ya huko Canada kuhusu hili ili tujue na huko pakojeee
Back
Top Bottom