Recent content by Fibanochi

  1. Fibanochi

    Tetesi: CHADEMA ‘Nusu Mkate’ wote wanahamia CCM February 5 akiwemo Wenje, Sugu na Boni Yai

    Mkuu una nini cha maana zaidi ya ushabiki wa kisiasa kitachofanya CCM wakushawishi uende kwao au Chadema wasikitike kukupoteza?
  2. Fibanochi

    Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

    Dada ugonjwa wa akili si kwamba wewe unaokota makopo au umechanganyikiwa la hasha, bali hata ile hali ya akili kutofanyakazi sawasawa tayari ni tatizo. Kuna dalili umezitaja hapo kama ukiangalia tv huelewi kinachoongelewa au mziki unaona kama kelele na kichwa kuuma. Cha kwanza unatakiwa...
  3. Fibanochi

    Huu muziki sijui unaitwa miziki wa Fally Ipupa una uzuri gani mbona watanzania kama mnaupenda sana?

    Binafsi sina mapenzi sana na nyimbo za bolingo zaidi ya zile za zamani za Aurlus Mabele, pepe Kale etc kwa kujikumbushia makuzi yetu ila sasa Fally bwana kaniteka achana kbs na huyo jamaa. My top hits toka kwake. 1. Associate 2. Maria PM 3. Mayday 4. Service 5. Original 6. Atante 7. Eloko...
  4. Fibanochi

    Kwani mkiachana lazima muwe maadui?

    Mkuu nakuelewa mwanaume anaumia sana akiwa na hakika "mkewe", narudia tena mkewe ameliwa na fulani hii huwaga haiishi milele hata kama ikitokea mmesameheana. Mara nyingi matokeo huwaga ni hayo, mwanaume kubadilika sana, hasira zote anamalizia kwa wanawake wengine anakuwa Malaya sana, na...
  5. Fibanochi

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Bro, hii album achana nayo aisee, ni chuma juu ya chuma R&B enzi hizo unaskia neno hadi neno mpka wimbo unaisha hujaskia neno F&#^ck, enzi enzi hizo kuna masister duuh wa kwenda muzee alafu wanajielewa na wanajua kuoga mzee baba achana na mabishoo nao ndiyo usiseme! Demu unafukuzia mwaka mzima...
  6. Fibanochi

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Enjoy, 90s to early 2000s jams were [emoji91]
  7. Fibanochi

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Vipi tukimleta Aaliyah wa "Age ain't nothing but a number" ya 1994 Sisi kizazi cha early 80"s tutaonaonekana vikongwe? Kuna pini za maana sana kwenye hii album!
  8. Fibanochi

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Fanya hivyo mkuu, Wi-Fi ya muajiri si ipo? Ha ha [emoji23]
  9. Fibanochi

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Uncle Sam - I don't ever wanna see you again
  10. Fibanochi

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    All that I am - Joe Thomas Stutter - Joe Thomas In those jeans - Ginuwine Difference- Ginuwine
  11. Fibanochi

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Hii ngoma daah, ongera na hero! Zilikuwa nyimbo za kulalia Enzo hizo zinapigwa Radio one na kwenye kipindi cha Marafiki na DJ Jd
  12. Fibanochi

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Boys II Men ni soo, kuanzia on bended knee, water run dry, I am doing just fine, four seasons etc zilikuwa za moto sana.
  13. Fibanochi

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Upate mtu akuimbie sasa, huwa mnahisi mnaelea...! Ila nyimbo zote toka kwa hii album " All that I am" zilikuwa za moto mno hakuna wimbo wa ku forward,.
  14. Fibanochi

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Daaah! Hii nayo ni ya ukweli sana!
  15. Fibanochi

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Kwa wale wa kizazi cha kabla ya Y2K watakumbuka miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2k kulikuwa na nyimbo kali sana za R&B. Kuna baadhi ya nyimbo ukisikiliza zinasisimua mpaka mifupa. Binafsi kuna ngoma moja ya Usher Raymond inaitwa " Nice & Slow" ilinikosha na still inanikosha. Wewe wimbo gani...
Back
Top Bottom