Ni propaganda ambazo hazina maana kama atakua hana ushahidi wa kutosha ..maana hata albino akivaa maski ukitizama na kumtofautisha kwa rangi ya ngozi tu unaweza kuishia kusema ni wazungu, pia watekaji wanaweza wakavaa fake skin kuwapoteza maboya polisi na mashahidi
Kumbuka kwamba Yoshua alimalizia kuandika baadhi ya sura za mwisho kwenye kitabu cha kumbukumbu la torati. Kwa kua kitabu hicho kwa kiasi kukubwa kiliandikwa na Musa, Yoshua aliamua kuacha kuacha umiliki huo chini ya Musa na hatimae yoshua akaandika kitabu chake kama mwendelezo wa pale Musa...
Hapa tunatofautiana jambo moja! Musa hakua akiandika maneno yake mwenyewe bali maagizo aliyopewa ma Mungu kupitia roho takatifu. Kwahiyo hilo neno HAJAINUKA au HAJATOKEA halimishi ni Musa aliandika kwa kujigamba bali ni Mungu alimwambia aandike vile kwa sababu ya imani Mungu aliyoiona kwa Musa...
Mkuu sijaelewa umetasfrisi vipi hilo neno hajainuka..bila shaka hapa umelizungumzia kama neno linalowakilisha wakati ukiopita...ila kiuhalisi neno hilo linatumika kwa wakati uliopo pia..pili maneno hayo yameandikwa wakati musa akimuwekea mkono Yoshua ili aendelee kuwaongoza wana wa israel pia...
Ulimwengu haukua na tabu na wala haungeweza kuleta tabu kwa namna yeyote ile isikopua kwa kuvunja amri waliyopewa..tabu zilianza pale Mungu alipowafukuza adam na hawa kutoka bustani ya Eden..Kama umesoma biblia ukaelewa vizuri adam na hawa walipewa kazi ya kuitunza bustani na agizo la kuijaza...
Inategemea unataka account ya aina gani na malengo ya yako ya kusave hela ni ya muda gani. Kwa ushauri wangu kama wewe ni mwanaume nenda pale crdb waambie wakufungulie account inayoitwa DHAHABU a/c hii unajiwekea malengo ya kusave bila kutoa angalo kiasi cha Tsh 50,000 kila mwezi, account hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.