Samahani naomba mnisaidie ushauri kuhusu huyu mwanangu ana 2 years amepatwa na vipele usoni, shingoni masikioni nk. Vingine vikikauka vinatoka vipya tena vingine.
Nilimpeleka hospital huku wakampa Ethromycin na Pricostant Cream ila bado hali inaendelea na dawa zimeisha.
Vipele vipo vinakuwa...
Kitabu cha bs kwa ajili ya advance level biology kinahitajika kwa bei nafuu kiwe used aw kipyaa nipo Dar es Saalam.
Mwenye nacho tuwasiliane kwa namba 0656-548919
Biashara hii imeshamiri sana katika maeneo ya Dar es salaaam hususan mida ya jioni ambapo chapati moja huuzwa kwa wastani wa Sh. 500.
Wakuu naombeni mchanganuo wa hii biashara nataka kufungua maeneo ya Mbezi Mwisho, Dar es salaam.
1. Mbinu zake
2. Starting capital
3. Changamoto zake nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.