Recent content by FENOVA

  1. F

    Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

    Hizi siasa za Tanzania ya leo zinatia kichefuchefu. Mtu unajigamba kufanya maendeleo lukuki , lakini bado unahangaika kuchafua watu na kuwatisha......!
  2. F

    Kwanini mchawi hawezi kuiba hela benki japo anaweza kupenya ndani, kuroga ama kupaa angani

    Uchawi upo hata M'mungu anajuwa hilo ila anatuonya tusiushiriki au tusitendee mambo ya kichawi.
  3. F

    Sakata la ruzuku ya CUF: Kambaya na Mtatiro ndani ya Star tv

    Ukiwa na Akili na Mapenzi mema na Nchi hii, lazima utakuwa upande was Mtatiro !!
  4. F

    RC Makonda yupo wapi?

    O
  5. F

    Matajiri ambao ni Maadui wa Magufuli ni wengi kiasi hiki?

    Rais wetu porojoooo tupu , uongozi sifuri !!
  6. F

    Tanzania tuamke, tumeachwa kimaendeleo na Kenya

    Inasikitisha sana hapa Tz hakuna maendeleo yoyote tunafanya yenye maana katika karne ya Leo zaidi ya kupigana vijembe kama waimba taarabu, si serikali si vyama vya siasa, si wananchi wenyewe. Tupo kama tumerogwa vile. Hebu angalieni wenzenu Kenya wako vipi [emoji116] [emoji116] [emoji116] tuamke...
  7. F

    Mtatizo ya CUF na fukuza fukuza

    Matope haya !!!
  8. F

    Zitto: Malipo ni hapa hapa duniani, Viongozi wastaafu wapo wapi wamuonye rais Magufuli?

    Kimsingi kila utawala una mazuri na mabaya lakini mazuri yako haya tufanyi kuacha kuyaona mabaya na kuyakemea lazima tuseme kwa sauti kubwa pale serikali inapo kosea kwani hatukuichagua kuja kukosea tumeichagua kuja kututoa katika matatizo yaliyo kuwepo na yaliyo tengenezwa na watangulizi wake...
  9. F

    Zitto: Malipo ni hapa hapa duniani, Viongozi wastaafu wapo wapi wamuonye rais Magufuli?

    Tunacho kionya hapa ni lugha chafu ambazo halingani na Utanzania wetu, kwahiyo kama anafanya unachokipenda anahaki ya kututolea matusi na kejeli ??? Anapo omba tumuombee je Mungu tunaye muamini anapenda dharau na matusi ?? Anacho kifanya anatimiza wajibu wake kama Rais wa Nchi na Anawajibika...
  10. F

    Zitto: Malipo ni hapa hapa duniani, Viongozi wastaafu wapo wapi wamuonye rais Magufuli?

    Hizi ni porojo kama kuna wapiga deal na mnawajuwa wafikisheni mahakamani mbele ya sheria. Tunahitaji ukweli siyo siasa porojo na matusi.
Back
Top Bottom