kwa hesabu unazopiga inaweza kuwa ni sahihi lakini kwa hizi plot tayari zimeshapimwa kuna barabara zinpita kutenganisha viwanja kwa hiyo inakuwa ni vigumu kuuza/kupima kwa heka ila basi kuna viwanja ambavyo vina ukubwa mbalimbali mfano kuna vyenye 600sqm,900sqm,1200sqm,2000sqm nk
Plots ziko mita 500 kutoka beach na zingine zinatazama barabara kuu ya kwenda ferry eneo la changani beach km 20 kutoka ferry,bei ni tsh 5000per square metre zimepimwa(surveyed).kwa maelezo zaidi.MALIPO YA INSTALLMENT YANAKUBALIKA KWA MIEZI ISIYOZIDI 12...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.