Recent content by Felix Mwinami

  1. Felix Mwinami

    Msaada tiba Kwa fangasi za kooni!

    Mkuu msaada hiyo dawa iliyokuponyesha fangasi za koo
  2. Felix Mwinami

    Msaada tiba Kwa fangasi za kooni!

    Namba yako mkuu naomba
  3. Felix Mwinami

    Fursa ya ufugaji wa ng'ombe wa asili kwa ajili ya nyama na maziwa kwa maeneo yaliyokaribu na soko

    Tupe Uzoefu wako mpaka sasa mkuu hii biashara mwenyewe naifikiria sana
  4. Felix Mwinami

    Mafua yasiyoisha, nini tiba yake?

    Ungetuambia uliambiwa una tatizo gani ili na sisi tujifunze mkuu
  5. Felix Mwinami

    Mtaji wa biashara ya duka la simu

    Hapo unazungumzia simu gani?
  6. Felix Mwinami

    Umeme wa solar

    shukrani sana kaka
  7. Felix Mwinami

    Umeme wa solar

    Nitafanya hivyo mkuu, weka namba nikucheki
  8. Felix Mwinami

    Umeme wa solar

    Unaweza kuwa sahihi siyo kwa mbungi hii ninayopata
  9. Felix Mwinami

    Umeme wa solar

    Duh aise usiseme hivyo basi, huku umeme hamna ndugu
  10. Felix Mwinami

    Adhabu ya viboko ifutwe mashuleni: Madhara yake hayadhibitiki

    Siungi mkono kabisa kwa shule zetu za kibongo aise wapigwe tu
  11. Felix Mwinami

    Msaada, Wataalamu wa betri za solar

    Umetoa maelezo mazuri sana. Naomba msaada wako mimi nimefunga panel ya 160w na bettery 95ah lakini nikipachika tv na radio pale kwenye socket tv inaniambia low voltage halafu inazima. Nikiunga direct pale kwenye battery naangalia vizuri tu. Shida nini?
  12. Felix Mwinami

    Umeme wa solar

    Wakuu mimi nina solar ya 160W chloride betri N100. Natumia taa 12 na tv inch 15 cha ajabu nikiangalia tv masaa 3 mfululizo tv inaniandikia no signal. Je tatizo ni betri kuisha nguvu au ni dish?
  13. Felix Mwinami

    Tatizo la tumbo kwa mtoto mchanga mwezi mmoja

    Habari za sahizi ndugu zangu, Nina mtoto wa mwezi mmoja lakina anasumbuliwa sana na tumbo, tumbo linaunguruma na anarudisha maziwa akinyonya. Nani amewahi kupitia hili na je shida ni nini na dawa yake ni ipi?
Back
Top Bottom