Mnyama anayeongoza kwa ukubwa duniani i.e samaki aina ya nyangumi amenasa na kufia ktk pwani ya mtwara jana.
Nategemea maliasili na utalii wangefanya chochote kupreserve in museum this rare specie kabisa ulimwenguni kuliko kuendelea kumuacha anaoza pale kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
========
Jioni ya tarehe leo 13/8/2014 msikiti wa Mtambani
ulipo maeneo ya Kinondoni Dar es salaam
umeugua moto na chanzo chake hadi hivi sasa
bado hakijajulikana.
Baada ya juzi Mtangazaji Ephraim kibonde kukamatwa ma kuwekwa nyuma ya nondo, imesababisha watanzania tuache mambo mengi ya msingi na kujadili kukamatwa kwake.
Hii sio sawa kwani nguvu hizo tunazo/tulizotumia kujadili kukamatwa kwake zingetosha sana kuangalia maeneo ambayo yana mapungufu kama...
inategemea sana na aina ya lipstick, nyingine zimetengenezwa "edible" yaan hazina madhara hata ukiila, ila sasa bei ndio tatizo maana moja utakuta mpaka laki na zaidi hii dada wa kule kikwetukikwetu hawezi inunua so kweli mtatuua bure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.