Recent content by Felippe

  1. F

    CCM waanza kuogopa aibu iliowakuta CHAUMMA Mwanza, mkurugenzi wa Karatu awaandikia barua watumishi wote wa umma wahudhurie mkutano wa Amos Makala

    Kuna vitu watu hawaelewii tuu, katiba inasema chama kilichoshinda kitaunda serikali, CCM ndio chama hicho watumishi Wameajiriwa na serikali ya CCM, wanatekekeza Ilani ya CCM sasa kwenye mkutano linaweza kuibuka swali kuhusiana na Ilani kwahiyo watumishi wa eneo husika lazima wawepo kujibia hizo...
  2. F

    Simba 1-1 RS Berkane| Agg: Simba 1-3 RS Berkane | RS Berkane Bingwa CAFCC 2024/205

    naombeni link ya kutazamia hii mechi jamani
  3. F

    Washambuliaji Goal poachers wanazidi kupotea duniani

    Ulipoongelea real strikers ukamuacha Ronaldo Nazario Delima Phenomena nimesikitika sanaa, umetukosea mnoo
  4. F

    Mashabiki watapeliwa: Waliokata tiketi za Benjamini Mkapa marufuku New Aman Complex

    Kalpana issue sio ushabiki, kila kitu kinaendeshwa na taratibu, kwa standard za kimataifa kubadili matumizi ya tiketi ni mambo ya kienyeji mnoo, Mimi ni shabiki wa Simba lakini ni lazima timu iendeshwe ki professional, sisi Mashabiki hatupaswi kushabikia kila kitu, ni lazima Taasisi yoyote...
  5. F

    PreGE2025 Rais Samia anasomaga comments? Je, anaujua ukweli? Je, hakuna mtu wa kumwambia ukweli au hajui?

    Nimekupuuza, muungwana anaelewa kuwa sio lazima mitazamo ifanane.
  6. F

    PreGE2025 Rais Samia anasomaga comments? Je, anaujua ukweli? Je, hakuna mtu wa kumwambia ukweli au hajui?

    Wa Tanzania ni watu wanaopenda kuwa negative kwa kila kitu, na watumia mitandao ni wachache ukilinganisha na total population ya nchi, Hivyo watu wa FB, insta na X, wakiamua kutoa maoni Yao hatuwezi kusema ndio mtazamo wa wa Tanzania wote.
  7. F

    Ingekuwa ya Ulaya, kampuni miliki ya gari iliyomuua mkurugenzi wa TANESCO, TBEA CO, sasa wangekuwa chini ya uchunguzi mzito wa rushwa; sio hapa kwetu

    Wa Tanzania ni watu tunaopenda negativity sana, Kabla ya kulaumu kitu chochote tafuta facts
  8. F

    Walimu Busega wachachamaa,wampa notisi ya siku 90 Maiko Kachoma (Mkurugenzi,Busega) wasema lazima Haki ipatikane

    Wakurugenzi wengi ni wajeuri mnoo, kwani hamna chombo cha kwasilisha malalamiko juu yao, wamekua miungu watu, wanakanyaga taratibu na miongozo mbalimbali ya utumishi wa umma. Watumishi wananyanyasika sana, wanamchonganisha mama kwa makusudi na watumishi wa umma wazalendo wanaofanya kazi kubwa...
  9. F

    Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

    Watu wengi wana comment tuu, hawaeleweli haya mambo ya mikataba ya Taasisi za mabeberu, unakuta shareholders wengi upinde, Kibarua kinaota Nyasi ye Kiba Angejibu kwa matendo tuu, andaaa shoo, piga sana tizi, njoo perform live piga shoo Kali watu watajua tu ukweli ni upi.
  10. F

    Kila nikijaribu kutaka kufanya Maendeleo kwa wazazi wangu ninashindwa

    Ipo hivi; ukiwaambia wazazi wako, nao wanawaambia ndugu zako, kwahiyo inakua sio Siri Tena, sasa roho za ndugu zako hauwezi kujua kama wanafurahia au wanaona uwivu wewe kufanikisha suala lililowashinda wao, kwahiyo usiri ni lazima ili ufanikishe jambo lolote lile
  11. F

    Hii ndiyo Simba SC mpaka muda huu tayari Mashabiki wa Simba SC wameshajichangisha Milioni 32 kati ya Milioni 100 za CAF ili ikalipwe kama Faini

    Suala sio kuchangia ni unachangia kitu gani? Kwa investment iliyopo simba ni kivipi ikose mil 100 mpaka ichangishe, mtu mwenye akili timamu lazima hii kitu ikufikirishe
  12. F

    Uzalendo: Nimechangia Simba 700, 000 share risiti ya mchango

    Mashabiki wengi wa hizi timu kubwa reasoning Yao ipo chini mnoo, ndiomaana ujinga Kama huu unafanyika, sio mapenzi kuchangisha vitu Kama hivii ni upumbavu tuu
  13. F

    Wajinga ndio waliwao huu ni uthibitisho kwa Simba, Rage huna baya

    Huu ni ujinga tu na upumbavu club kubwa kama Simba ni kivipi ichangishe hela ndogo kama Dola 40,000, wa Tanzania wengi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ndiomaana mambo Kama haya yanafanyika na watu hawahoji, huu ni upumbavu wa kiwango cha lami
  14. F

    RC Makonda atangaza rasmi ratiba ya kufunga na kufungua Mwaka Arusha

    Tupunguze negativity, watu wamekua na chuki sana hata bila sababu,
Back
Top Bottom