Sahihi kabisa, bahati nzuri mimi ni miongoni wa watu niliobahatika kusoma nje ya nchi kwa level zote za degree na masters nathibutu kusema kua ukiwa unaona wanavyofundisha na namna wanavyotoa mitihani yao unaweza kuona maisha ni rahisi sana mambo ya take away CAT nk. But believe me hizo nchi...
Watu hawapendi mabadiliko lakini mabadiliko hua ni ya lazima. Tembeeni muoni watu wengine wanasomaje na wanaishije, je tumewazidi maendeleo? Tumewazidi ugunduzi?
Mfano USA mwanafunzi wa MPH wakati wa exam ya Biostatistics anapewa hadi formular kwenye pepa yake, yeye ni kufanya computational tu...
Mrejesho, Asante sana wote kwa ushauri wenu umekua msaada sana. Nilikaza mpaka mwisho biashara tulifanya na kumaliza vzuri. Kwasasa nimechukua gari. Vp kuna umuhimu wa kumwaga oil hata kama zinaonekana ni mpya.
Naomba kufahamu, ukiingiza used car kutoka japan, ni muhimu kufanya service zp? Na je unaweza kutumia oil ya gear box uliyoikuta na ukabadili ya engine tu?
Kama kichwa kinavyojieleza. Nimeagiza gari japan, na inatarajiwa kufika tar 7 Nov.
Document zilishafika kama week moja iliyopita nikampa agent kwa ajili ya clearing, aliniambia gharama ni laki 2 tu. Sasa analazimisha nilipe mil moja jumla na gharama zake, na mm nimemwambia siwez kumtumia pesa...
Nafikiri changamoto ni abiria wa msimu, inafanya wenye mitaji midogo kujiendesha kwa hasara. Ni kama duka la nguo ambalo linauza sana wakati wa sikukuu za mwisho wa mwaka na wakati wa wanafunzi kufungua shule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.