Huyo mtangazaji mwenyew naye aliishia kulalamika hivohivo kuwa huo utetezi hauna mantiki.
Nadhani kuna walipeleka taarifa zao Tanesco hivo watajaribu kuangalia shida ipo wapi mana wana taarifa.
Na haya malalamiko hasa ni kwawatu wa Dar
Hili tatizo watu wengi wanalilalamikia.
Asubuhi nilikuwa nasikiliza Clouds watu wanalalamika hadi mtangazaji akahojiwa hadi meneja wa Tanesco.Alichosema huu mwezi watu matumizi yamekuwa mengi kwakuwa wengi wapo nyumbani na watoto wako likizo hivo matumizi yamekuwa mengi.
Hii nikutokana na...
Kweli watu tunatofautiana.
Mimi kukaa mbele siwezi kabisa sipendi na pia hua naogopa naona kama kifo hiki hapa. Hapo sijui huko mbeleni nikibarikiwa usafiri binafsi itakuwaje.
Hata nikute mbele kwa dereva hakuna mtu sikai hata konda anifungulie huwa sikai.
Kuna vitu wala sio vyakuazima basi tu tunajitoaga ufahamu.
Ila kuna watu hawana aibu kuazima kwao ni jambo la kawaida hata kama hakuna ulazima anaazima na haangalii hiki kinafaa au hakifai kuazima.
Unaazima kitu ambacho hata kikipata hitilafu huna uwezo wa kukitengeneza.
Mimi hapana kwakweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.