Tulikua tumegombana. Ndani hatuongei kila.mtu na yake siku mbili.
Kukawa na game ya Simba na Al Ahly Tripoli. Nikasema ngoja nikaangalie bar hii game. Kumuaga naenda kuangalia mpira nikaulizwa hilo swali.
Nikajibu wewe (kumbuka 2 days.hatuna story)
Nikajibiwa hakuna kwenda. Kilichofuata...
Yanga ilishinda 5 dhidi ya simba wakati huo Manala kafumgiwa
Anachofanya kocha wa yanga kwa saaa ni kujaribu muumganiko wa wachezaji ili kupata combination nzuri.
Imgawa anayo combination moja matata maalum kwa mechi muhimi
Nilichigundua
Ni kama kuna kamchezo hivi kanaandaliwa. Kuna watu wanaleta post kupima upepo halafu baada ya muda hali inatokea kweli.
Hii imeshatokea kwenye sukari na mafuta. Sasa upepo unapinwa kwenye chumvi.
Soon chumvi itaadimika na kupanda bei.
Comment ya kwanza ikiandika CHAI
Zinazofuata zote zinapita humo humo
Utasikia sukari imezidi
Mwingine anapost picha ya kamba
Kuepuka hilo uwe na id mbili
Unaandaa uzi kisha unapost halafu fast id nyingine inajibu
Utaona vichwa panzi wancyopita humo humo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.