Recent content by fdizzle

  1. fdizzle

    Kwanini Morogoro ni ngumu kuwa jiji kubwa la kisasa

    Miaka hiyo Morogoro ilikua inakimbizana na Dar ndio chimbuko la huo usem
  2. fdizzle

    Clouds media jana mmejiaibisha mno kwenye kipindi cha michezo

    Ila kiukweli mashabiki wa simba mnaboa sana Na mpira wa tz unaharibiwa na ninyi Mara GSM Marefa Uchawi Bahasha Sasa mmekuja na sindano
  3. fdizzle

    "Mimi na Mpira unapenda nini?" 😃

    Tulikua tumegombana. Ndani hatuongei kila.mtu na yake siku mbili. Kukawa na game ya Simba na Al Ahly Tripoli. Nikasema ngoja nikaangalie bar hii game. Kumuaga naenda kuangalia mpira nikaulizwa hilo swali. Nikajibu wewe (kumbuka 2 days.hatuna story) Nikajibiwa hakuna kwenda. Kilichofuata...
  4. fdizzle

    Klabu ya Simba ikipita kwenye hili kundi nipigwe ban

    Huna lolote attention seeker
  5. fdizzle

    Manara arudishwe haraka kabla mambo hayajaharibika

    Yanga ilishinda 5 dhidi ya simba wakati huo Manala kafumgiwa Anachofanya kocha wa yanga kwa saaa ni kujaribu muumganiko wa wachezaji ili kupata combination nzuri. Imgawa anayo combination moja matata maalum kwa mechi muhimi
  6. fdizzle

    Yanga imekata moto, Ijiandae kwa vipigo

    Nili Nilitaka kuanzisha uzi,ila.comment yako ndio content ya uzi niliotaka kuanzisha. kIufupi kocha yupo kujaribu mifumo katika mazingira tofauti.
  7. fdizzle

    FIFA yaipa Yanga siku 45 kumlipa Okra Magic Tsh 66,612,000.00 na siku 30 kulipa fine ya Tsh 8,190,000.00

    Haya yote yanasababishwa na mambo mawili 1.Sajili za kukomoana. Hapa naona Baleke pia anapasha misuli 2.Hatuna mwanasheria mzuri
  8. fdizzle

    Uzi wa mamelod kwa sasa umakwenda vizuri sana sokoni ! Kwa hapa dar umeanza kuadimika kabisa

    Hawa jamaa sijui wanawaza nini Sawa na shabiki wa simba anunue jezi ya al ahly kesho
  9. fdizzle

    Chumvi imeadimika mitaani

    Nilichigundua Ni kama kuna kamchezo hivi kanaandaliwa. Kuna watu wanaleta post kupima upepo halafu baada ya muda hali inatokea kweli. Hii imeshatokea kwenye sukari na mafuta. Sasa upepo unapinwa kwenye chumvi. Soon chumvi itaadimika na kupanda bei.
  10. fdizzle

    Chuo cha Ardhi kuweni makini na huu mtego wa suala la mapacha kudai kufanyiana mtihani

    Comment ya kwanza ikiandika CHAI Zinazofuata zote zinapita humo humo Utasikia sukari imezidi Mwingine anapost picha ya kamba Kuepuka hilo uwe na id mbili Unaandaa uzi kisha unapost halafu fast id nyingine inajibu Utaona vichwa panzi wancyopita humo humo
  11. fdizzle

    Bahasha fc: Tumalize mchezo mapema

    Nasubiri jibu
Back
Top Bottom