Recent content by fdizzle

  1. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa Yanga tunasubiria baadhi ya wachezaji waachwe Simba tuwachukue

    TAtizo Manara⁸
  2. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni Mbowe na sio Lissu na kwanini CHADEMA haifi?

    Ajabu.kwa kweli
  3. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Kwanini Morogoro ni ngumu kuwa jiji kubwa la kisasa

    Miaka hiyo Morogoro ilikua inakimbizana na Dar ndio chimbuko la huo usem
  4. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Clouds media jana mmejiaibisha mno kwenye kipindi cha michezo

    Ila kiukweli mashabiki wa simba mnaboa sana Na mpira wa tz unaharibiwa na ninyi Mara GSM Marefa Uchawi Bahasha Sasa mmekuja na sindano
  5. fdizzle

    JamiiForums Tanzania "Mimi na Mpira unapenda nini?" 😃

    Tulikua tumegombana. Ndani hatuongei kila.mtu na yake siku mbili. Kukawa na game ya Simba na Al Ahly Tripoli. Nikasema ngoja nikaangalie bar hii game. Kumuaga naenda kuangalia mpira nikaulizwa hilo swali. Nikajibu wewe (kumbuka 2 days.hatuna story) Nikajibiwa hakuna kwenda. Kilichofuata...
  6. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Simba ikipita kwenye hili kundi nipigwe ban

    Huna lolote attention seeker
  7. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Manara arudishwe haraka kabla mambo hayajaharibika

    Yanga ilishinda 5 dhidi ya simba wakati huo Manala kafumgiwa Anachofanya kocha wa yanga kwa saaa ni kujaribu muumganiko wa wachezaji ili kupata combination nzuri. Imgawa anayo combination moja matata maalum kwa mechi muhimi
  8. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Yanga imekata moto, Ijiandae kwa vipigo

    Nili Nilitaka kuanzisha uzi,ila.comment yako ndio content ya uzi niliotaka kuanzisha. kIufupi kocha yupo kujaribu mifumo katika mazingira tofauti.
  9. fdizzle

    JamiiForums Tanzania FIFA yaipa Yanga siku 45 kumlipa Okra Magic Tsh 66,612,000.00 na siku 30 kulipa fine ya Tsh 8,190,000.00

    Haya yote yanasababishwa na mambo mawili 1.Sajili za kukomoana. Hapa naona Baleke pia anapasha misuli 2.Hatuna mwanasheria mzuri
  10. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni Simba VS Yanga na sio Yanga VS Simba

    Tupo msibani
  11. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Uzi wa mamelod kwa sasa umakwenda vizuri sana sokoni ! Kwa hapa dar umeanza kuadimika kabisa

    Hawa jamaa sijui wanawaza nini Sawa na shabiki wa simba anunue jezi ya al ahly kesho
  12. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Chumvi imeadimika mitaani

    Nilichigundua Ni kama kuna kamchezo hivi kanaandaliwa. Kuna watu wanaleta post kupima upepo halafu baada ya muda hali inatokea kweli. Hii imeshatokea kwenye sukari na mafuta. Sasa upepo unapinwa kwenye chumvi. Soon chumvi itaadimika na kupanda bei.
  13. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Ardhi kuweni makini na huu mtego wa suala la mapacha kudai kufanyiana mtihani

    Comment ya kwanza ikiandika CHAI Zinazofuata zote zinapita humo humo Utasikia sukari imezidi Mwingine anapost picha ya kamba Kuepuka hilo uwe na id mbili Unaandaa uzi kisha unapost halafu fast id nyingine inajibu Utaona vichwa panzi wancyopita humo humo
  14. fdizzle

    JamiiForums Tanzania Bahasha fc: Tumalize mchezo mapema

    Nasubiri jibu
Back
Top Bottom