Shida siyo kulazwa ward namba ngapi kwa sababu navyowajuwa watanzania wakishamjua mgonjwa wataanza kumkoromea mgonjwa kwanini unatuchoma kupitia kwenye media watamhoji anayekuja kumuona ninani badala ya kumfariji hata hiyo paracetamol ataikosa kimsingi daktari anawajibu wa kutembelea wagonjwa...
Leo tarehe 11.06.2019 Kuna mgonjwa ameletwa tangu majira ya saa Saba mchana baada ya kufikishwa Kama kawaida alipitishwa kwa daktari ili daktari amuone hali yake pamoja na kuchukua particular zake. Baada ya kumuona daktari aliamuru mgonjwa apewe kitanda kulingana na hali yake ,shida inakuja hivi...
Ndugai haaminiki !alipopiga mwenzake tu kipindi Cha uchaguzi imani ya kuwa kiongozi Bora ilinitoka nashangaa kuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano! Baada ya kuwa spika nyie wenyewe mnaona changamoto zilizopo pale bungeni
Leo kaumbuka mbele ya jpm mzee huwa anapasua palepale ukitaka unune yeye anakuwa ameshamaliza kulitoa lililomoyoni mwake! Kawambia ccm ya Sasa siyo ya Zama hizi
Kitendo cha kusema yeye amejithihirisha kuwa yeye ni mwanaume wa shoka nimejiuliza mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na wananchi anaowahudumia tena wa kiroho, gwajima tubu dhambi zako tunajuwa wewe ni mwanadamu unaweza kukosea kama ilivyokutokea habari za editing ni ngumu kuwaaminisha watu wenye...
Mwenye namba ya simu ya mkononi ya waziri was elimu prf. Ndalichako au naibu wake naomba anisaidie Mimi Nina kilio Changu Cha kumueleza ambacho ni siri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.