Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 10,590
- 7,951
Hivi nyie watu mnaofuga bundi na simba, mnavibali kutoka mali asili kweli?
Shhhhhh, usiongee kwa nguvu watakusikia wahusika.
Hivi nyie watu mnaofuga bundi na simba, mnavibali kutoka mali asili kweli?
Duuuu we jamaaa Unamadume 4,how you manage 4 man?
Aisee we jamaa una roho nzuri sana...Bila shaka wewe ni shabiki wa timu ya simbaSi mara ya kwanza nafunga….wakikuwa nawapeleka porini.
Nauza vifaranga vya bundi...
Vina mwezi mmoja, havihitaji chanjo maana jamii hii ya bundi haishambuliwi sana na magonjwa...
Napatikana sumbawanga, Nakuletea popote usafiri juu YanguView attachment 807636
jumla au rejareja....