Recent content by fazili

  1. F

    JamiiForums Tanzania Siku Ukijua Kinachokutokea Usiku, Akili Yako Itaruka!

    Damu ya Yesu Kristo inatosha sana jifunike kwa Damu ya Yesu pamoja na nyumba yako yote na mali zako kila wakati utakuwa salama.
  2. F

    JamiiForums Tanzania Kizimkazi Festival 2026: Tamasha Linalogeuza Utamaduni Kuwa Nguvu ya Maendeleo

    Ni tamasha la wizi wa fedha za watanzania.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Shekhe ahoji ni lini Waislam wa Tanzania wataachana na Chembechembe za Utumwa wa Waarabu, Vita vyao si vya Kidini, Watanzania waiombee nchi yao

    Huyu sheikh ana akili sana ni muislam kweli huyu?!
  4. F

    JamiiForums Tanzania Nimeshavuka hofu

    Au ni dhamiri (conscience) imekufa? Fanya uchunguzi zaidi.
  5. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta Vifaa Vifuatavyo kwa Bei Rafiki: Betri ya Lenovo, RAM 8GB na SSD 500GB

    Lenovo Thinkpad kuanzia T470 series ndio kifaa haswa, tena ukiwa na RAM 16GB utapenda ni heavy duty kwelikweli.
  6. F

    JamiiForums Tanzania Mara mbili nilimuona mtu akikatiza kwa kasi kwenye corridor na kutoonekana alikojificha usiku wa manane, ni viumbe gani hivi ?

    Hayo mambo hapo ila Yesu akiwa Bwana wa mahali hapo hutaona mazagazaga hayo.
  7. F

    JamiiForums Tanzania Bey Minyodo Tz, kijana wa Tanzania anayewaadhibu vijana wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja

    Ni makosa makubwa kufanya hivyo na hakuna sheria inamruhusu kufanya hivyo.
  8. F

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Sio sahihi kusema hivyo. Ukweli ni kwamba kitu chochote kile kikitumika vibaya ni dhambi. Tumia pombe kiasi na usilewe. Ulevi ni dhambi, ulafi ni dhambi, ukifanya sana tendo la ndoa na mkeo kiasi cha kupitiliza ni dhambi kama ulevi na ulafi.
  9. F

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Waislam huwa mnakimbilia ACT na CUF na mmeona kuwa jambo hilo ndilo linawaangusha sasa mnaibambikizia CDM udini. Mmerogwa!
  10. F

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anaedaiwa kuwa mchawi adondoka kutoka angani na kuzua taharuki jijini Arusha

    Hii sio ya siku zilizopita?
  11. F

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Mama anataka kusema kitu lakini anaona aibu msaidieni.
  12. F

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Thanks tushirikishe kidogo testimony yako mkuu.
  13. F

    JamiiForums Tanzania Jukwaa la Siasa Linapoteza Mvuto Tujenge Hoja, Tuache Taarabu

    Jukwaa hili limeingiliwa na vilaza kutoka chama tawala, uchawa umejaa hapa na matumizi ya akili yameshuka sana.
  14. F

    JamiiForums Tanzania Bila kuiondoa CCM, watanzania msahau kabisa maendeleo.

    Ni kweli kabisa watanzania tuondokane na CCM haraka uwezavyo hili genge ni hatari mno kwa ustawi wa nchi yetu.
Back
Top Bottom