Recent content by fazili

  1. F

    JamiiForums Tanzania Sura sio umri

    Hayupo kwenye 60s kweli?
  2. F

    JamiiForums Tanzania Dorothy Semu: Jaji Warioba anaendelea vizuri

    Naambiwa anamalizwa polepole na watu flani wasiopenda kukosolewa. Kwani Nchimbi yupo wapi?
  3. F

    JamiiForums Tanzania Kuna wakati Tuseme ukweli tu,Tanzania inasonga mbele Chini ya Chama Tawala

    Hakuna amani bila haki!
  4. F

    JamiiForums Tanzania Itakuwaje siku Samia akiingia JF asome watu wanavyomchukulia?

    CCM mjifikirie hii ni hatari!
  5. F

    JamiiForums Tanzania Watanzania chuki zimezidi sasa mnashindwa hata kusema pole kwa rais wenu. Tumwombe Mungu atutoe hapa

    Kwa kweli comments za watanzania wengi juu ya kifo cha mume wa rais Samia Suluhu Hassan nyingi zimejaa chuki kubwa mno! Nilitegemea watu watoe pole kwa rais katika siku hii ngumu sana kwake kwa kufiwa na mumewe lakini niliyoyaona mtandaoni yameniacha na maswali mengi sana kuhusu hali ya kisiasa...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Legacy ya Rais Samia ni ipi mpaka sasa?

    Mauaji na nepotism.
  7. F

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Mahubiri marefu >15 minutes Michango zaidi ya miwili ndani ya ibada moja Ibada ndefu zaidi ya saa moja na nusu
  8. F

    JamiiForums Tanzania Tetesi:, Rais Dr samia wetu,na Dr.Nchimbi,wapo pamoja na wanawasiliana kwa jina la kaka na dada kila siku.

    Mnapenda CCM ionekane nzuri wakati mbaua watu kila siku.
  9. F

    JamiiForums Tanzania AFCON hivi Taifa Stars itashiriki? Maandalizi yanaanza lini?

    Inakwenda kuwa aibu kubwa.
  10. F

    JamiiForums Tanzania Hakuna waziri aliyegeuzwa geuzwa kama kondomu za Kagera kutoka Uganda km simbachawene, nakusihii tetea katiba.

    Katiba mbovu ndio ilimwondoa kinyemela huyu Chawene kwenye uwaziri leo hii anatetea katiba hiyo! Kweli huyu ni ojware kabisa.
  11. F

    JamiiForums Tanzania UTABIRI: Ndejembi kuwa Rais wa awamu ya 7 kabla ya 2030

    Pengine ikawa kheri.
  12. F

    JamiiForums Tanzania Baraka ya chumvi

    Kuwa makini na hakikisha unafahamu vizuri ni nini unafanya na hayo maneno yanamaanisha nini na yanatumika kufanya nini hasa usije ukapata matatizo usiyojua yanatoka wapi.
Back
Top Bottom