1. Hizo pingu za kisasa anaweza kuwa nazo jambazi la kawaida la mtaani kweli?
2. Je kwanini ufunguo wa pingu hizo wanao Polisi?
3. Na Usalama wa Taifa na Polisi walijuaje kama Djumbe alikuwa amefungwa pingu na kwanini wamekimbilia ofisi za CDM kutaka kumfungua pingu haraka haraka kwani aliwaomba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.