Recent content by fazili

  1. F

    Zanzibar kuanza kuagiza mchanga kutoka Tanzania Bara

    Huu ni udwebedu mkubwa, wakati bahri imejaa nchanga tele!
  2. F

    CCM wafunzeni adabu vijana wenu kuwaheshimu wazee wetu

    Halafu mtu kama Huyu anakuwa mbunge na waziri wa Habari na Utamaduni, utamaduni upi?!
  3. F

    Dkt. Homera aagiza watumishi wenye utendaji mbovu Jimbo la Namtumbo kuhamishwa

    Wahamishishiwe Kizmkazi. iwe Kizmkaz.
  4. F

    Kama Kristo yuko hai, basi kifo chake kilikuwa na maana gani?

    Kwa kifo chake akituonesha kuwa yeye yupo juu ya uzima na mauti.
  5. F

    Inasikitisha sana; Anakufa mwanasiasa, wananchi wanashangilia

    Anasubiriwa ssh, watu wamechoka.
  6. F

    Serikali iuangalie mji wa Kahama kwa jicho la tatu

    Tunakosa watu wenye akili serkalini miji yetu ingekuwa mizuri sana na biashara zingekuwa kubwa na ajira tele.
  7. F

    Toka dunia iumbe hakuna raisi aliyewahi kushinda kwa asilimia 98%

    Hii inaonesha zaidi kiwango ujinga wa watanzania ambacho ni ~98%.
  8. F

    Mungu ampe Rais Samia maisha marefu

    Haki itatendeka tu hata iweje!
  9. F

    Mzee Warioba ni tunu ya Taifa

    Ndiye mwana CCM aliyebaki.
  10. F

    Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Internet unatumia bando zipi embu nijulishe na bei zake mkuu.
  11. F

    Tanzania tajiri, Wananchi maskini– What is going on?

    Bila CCM kung’olewa hakuna maendeleo.
Back
Top Bottom