Imemchukua binadamu mabilioni ya miaka tangu kutokea kwenye uso wa Dunia na kuwa kama alivyo leo. Haikuwa bahati nzuri au mbaya. Hata kama matofali ya nyumba hayaoni kwanini yapo pale, mmiliki wa nyumba anaona umuhimu wa kila tofali na anajali sana.
Hii ni stoicism, mawazo waliyokuwa nayo akina Zeno of Citium na kuendelezwa na akina Markus Aurelius na wengine Stoicism (Stanford Encyclopedia of Philosophy).
Ndio tutakufa kama tulivyozaliwa lakini that's not all about life. Na ukipenda kujua maisha yana maana gani, basi yape maana wewe...
Wakati wa CCM umepita. Chama hiki kwa sasa ni kama simba mzee aliyechoka, anayepigania siku zake za mwisho.
CCM sasa haina rafiki wa dhati, wote waliopo ni wanafiki na wanasubiri kwa mbali kuona nini kitatokea. CCM kimepoteza legitimacy ya kutawala nchi hii. Kila aliyepo CCM leo yupo kwa...
Ni makosa makubwa mno kumkejeli Freeman Aikael Mbowe ambaye bila yeye CHADEMA ingekuwa kama UDP, DP, NLD, CHAUSTA, PONA na wengineo! Kumbuka Mbowe alivunjwa mguu na alisota jela miaka mingi na kufilisiwa mali zake nyingi akipigania demokrasia leo unamsema vibaya hivi?!
Tumeona kwenye tamasha la bongo fleva Mlimani City jinsi ambavyo wahudhuriaji walivyokataa mambo wasiyoyataka. Tumeona naibu waziri wa utamaduni akizomewa kwa kutaka kuingiza siasa kwenye burudani. Pia tumeona hayo hayo yakimtokea Dully Sykes kwa kumtaja tu Makonda. Haya yanatufundisha nini...
Ni kweli umasikini ni mkubwa sana na viongozi wetu hawaoni hilo kwasababu ndio mazingira waliyozaliwa na kukulia tena wanasema vijana wa siku hizi hamuujui umaskini, miaka ya 60 hadi 90 kulikuwa na umaskini kweli kweli.
Safiri hadi Kilimanjaro huko kuna nafuu kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.