Recent content by fazili

  1. F

    JamiiForums Tanzania Ina maana mpaka zile pingu ni za kisasa zikaenda kufunguliwa polisi.Na kwa nini walipigiwa simu na polisi

    1. Hizo pingu za kisasa anaweza kuwa nazo jambazi la kawaida la mtaani kweli? 2. Je kwanini ufunguo wa pingu hizo wanao Polisi? 3. Na Usalama wa Taifa na Polisi walijuaje kama Djumbe alikuwa amefungwa pingu na kwanini wamekimbilia ofisi za CDM kutaka kumfungua pingu haraka haraka kwani aliwaomba?
  2. F

    JamiiForums Tanzania David Djumbe asema kiongozi wa waliomteka alikuwa akiongea lafudhi ya ki Zanzibar

    Kuna siku yatatokea ya kutisha kuliko 29 October.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Ndoa ni ya kutatuliwa kwenye ziara za Waziri Mkuu?

    Hizo ndo akili za viongozi wa nchi hii,
  4. F

    JamiiForums Tanzania Tanzania tumekosa mabilioni kwasababu ya tamaa na ubinafsi wa Mama Samia

    Bibi kaharibu nchi vibaya mno.
  5. F

    JamiiForums Tanzania CCM waondoeni hao wahuni walioteka chama chenu

    Mwanachama wa kweli wa CCM aliyebaki ni mmoja tu, Joseph Sinde Warioba.
  6. F

    JamiiForums Tanzania Golugwa: Nilimpigia simu Mafwele akaniambia, Djumbe (Msaidizi wa Lissu) yuko hapo amefungwa pingu! Nikamuuliza umejuaje amefungwa pingu?

    Akina Mafwele wana mwisho wao siku sii nyingi.
  7. F

    JamiiForums Tanzania Mikono ya Jumbe yafunguliwa pingu na Polisi ikiwa imevimba kwa kufungwa pingu Jana Baada ya kutekwa

    Hii mijamaa inayofanya ushenzi huu tuendelee kuhesabu siku zao.
  8. F

    JamiiForums Tanzania Polisi: David Djumbe amepatikana, tunachunguza waliomkamata Bunju

    Kwanini gari lilikimbilia ofisi za usalama wa Taifa baada ya kuona wananchi wanakuja juu?
  9. F

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Hawa ni .bwa na sio mbwa tuelewane.
  10. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwandishi Salim: Hivi sasa tukubali au tusikubali, tunapelekwa kuwa 'a not talking nation', nchi ya watu mabubu

    Tanzania tumetoka kuwa nchi nzuri ya ki-demokrasia na uhuru wa habari hadi kuwa nchi ya kumsifu na kumtukuza samia, kweli tunakwenda siko.
  11. F

    JamiiForums Tanzania Kahama: CCM, yaanza kuvunja Vizimba vya CHADEMA

    Huu ni uchokozi mkubwa wanataka turudi October 29?
  12. F

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Mtu yeyote anayeitetea ccm na samia ni ..bwa.
  13. F

    JamiiForums Tanzania David Djumbe (Msaidizi wa Lissu) atekwa

    Inasikitisha kwelikweli tunapoelekea, huyu mama ni mkatili sana.
  14. F

    JamiiForums Tanzania Ccm haifiki 2040 itakuwa imeshakufa

    Huko mbali sana mkuu.
  15. F

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Mshaurini Samia wenu anatupeleka pabaya, kwanini hakujifunza October 29, ni chura kizziwi kwelikweli hutu mtu.
Back
Top Bottom