Recent content by fazili

  1. F

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hii ya Lissu na Heche ichangiwe kwa moyo mweupe. Fedha zipo salama hii sio ile SACCOS ya Mbowe.

    Sijui nani amefanikiwa kuwadanganya watanzania kiasi hiki! Naamini sio Lissu.
  2. F

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia hakuna hata haja ya binadamu kuja duniani...

    Imemchukua binadamu mabilioni ya miaka tangu kutokea kwenye uso wa Dunia na kuwa kama alivyo leo. Haikuwa bahati nzuri au mbaya. Hata kama matofali ya nyumba hayaoni kwanini yapo pale, mmiliki wa nyumba anaona umuhimu wa kila tofali na anajali sana.
  3. F

    JamiiForums Tanzania CCM ni kama simba mzee, hana rafiki na mwishowe huuwawa na mbwa mwitu

    Simba mzee utamjua tu, hata fisi wanamjua vizuri.
  4. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanaogopa kufa?

    Hii ni stoicism, mawazo waliyokuwa nayo akina Zeno of Citium na kuendelezwa na akina Markus Aurelius na wengine Stoicism (Stanford Encyclopedia of Philosophy). Ndio tutakufa kama tulivyozaliwa lakini that's not all about life. Na ukipenda kujua maisha yana maana gani, basi yape maana wewe...
  5. F

    JamiiForums Tanzania CCM ni kama simba mzee, hana rafiki na mwishowe huuwawa na mbwa mwitu

    Wakati wa CCM umepita. Chama hiki kwa sasa ni kama simba mzee aliyechoka, anayepigania siku zake za mwisho. CCM sasa haina rafiki wa dhati, wote waliopo ni wanafiki na wanasubiri kwa mbali kuona nini kitatokea. CCM kimepoteza legitimacy ya kutawala nchi hii. Kila aliyepo CCM leo yupo kwa...
  6. F

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hii ya Lissu na Heche ichangiwe kwa moyo mweupe. Fedha zipo salama hii sio ile SACCOS ya Mbowe.

    Ni makosa makubwa mno kumkejeli Freeman Aikael Mbowe ambaye bila yeye CHADEMA ingekuwa kama UDP, DP, NLD, CHAUSTA, PONA na wengineo! Kumbuka Mbowe alivunjwa mguu na alisota jela miaka mingi na kufilisiwa mali zake nyingi akipigania demokrasia leo unamsema vibaya hivi?!
  7. F

    JamiiForums Tanzania Hii namna mpya ya kuandamana hapo hapo na kiongozi akiwepo jukwaani inaweza kuleta mapinduzi makubwa kwenye siasa za Tanzania

    Tumeona kwenye tamasha la bongo fleva Mlimani City jinsi ambavyo wahudhuriaji walivyokataa mambo wasiyoyataka. Tumeona naibu waziri wa utamaduni akizomewa kwa kutaka kuingiza siasa kwenye burudani. Pia tumeona hayo hayo yakimtokea Dully Sykes kwa kumtaja tu Makonda. Haya yanatufundisha nini...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Kwa taarifa nilizonazo ilikuwa inapigwa simu pale mlimani city

    Huko ndiko kuandamana kwa kisasa.
  9. F

    JamiiForums Tanzania Dully Sykes alipotaja jina la Makonda naye akazomewa

    Saaaaafi saaaana Watanzania sasa mmeanza kujielewa na punde tutafika mbali kabisa.
  10. F

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Rais Samia na Mwigulu wakifuatilia tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Vizuri sana, zipo namna lukuki za kuandamana, hii ni hata namna bora zaidi.
  11. F

    JamiiForums Tanzania Kwa wenye akili tu, jaribu kufikiria baada ya MwanaFA kuzomewa Dk. Samia na machawa wake hali zao zikoje in terms of mental fitness

    Tuendelee kuwazomea watu wa namna hiyo tuweka adabu nchini.
  12. F

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kutaka kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Tufanye hivi hivi kila wakati kwa wanaosifia ccm ukichanganya na maandamano ya kusafisha mitaa yote, nina imani tutafanikiwa sana!
  13. F

    JamiiForums Tanzania Ila jamani nchi yetu ni masikini, khaa

    Ni kweli umasikini ni mkubwa sana na viongozi wetu hawaoni hilo kwasababu ndio mazingira waliyozaliwa na kukulia tena wanasema vijana wa siku hizi hamuujui umaskini, miaka ya 60 hadi 90 kulikuwa na umaskini kweli kweli. Safiri hadi Kilimanjaro huko kuna nafuu kubwa.
  14. F

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Maridhiano si udhaifu

    Bado kuna mtu anamsikiliza huyu mama!
  15. F

    JamiiForums Tanzania Wachumi: Leo Taifa limepata hasara kiasi gani? CCM siyo sifa, hiki mnafanya ni upumbavu

    CCM iondolewe.
Back
Top Bottom