We unachekesha sana, sa Israel hata kama anayo atampiga USA?
Sababu Iran akiwa nayo atampiga USA na Nchi yoyote ya Europe umeona enhee? Israel ma adui zake wako karibu yake yani hata kama anazo hazitamsaidia zitaishia kwenye bahari hahaha.
Nilidhani naongea na mtu ana akili kumbe haunazo...
FYI mimi ni katika Masheikh Al Arab hata kama naongea kiswahili, siku zote warabu wanafata kwa baba hawafati kwa mama na hata wakifata kwa mama upande wangu mama ni mwarabu pure ni bibi yake tu ndo alikuwa mwafrika, ndo mana ukaona King Abdullah wa Jordan alikuwa hajui hata kiarabu...lakini...
Ghadafi alikuwa ana asili ya ki Italiano/kiyahudi kujua kiarabu au kutawala nchi ya kiarabu hakijamfanya yeye kuwa mwarab safi hata siku moja...:biggrin:
We umeishiwa huna jipya we unajua Quote uliyo iweka hapa ilikuwa inaongelea mke wa mfalme anamtaka Nabii Yousuf kusex naye tena kwa kumlazimisha unaona kama we kichaa hujui Quran:biggrin:
Si nimeisha kuwambia we jinga lolo tu, wapi imesema kutongozwa mwanamke dhambi, si we ndo ulijidai...
WE nona unakimbia swali, swali langu tokea mwanzo wapi kutongozwa ni dhambi awe mke wa mtu au asiwe mke wa mtu, wangapi wake za watu wametongozwa na hawakuzini unajua sababu gani? sababu wale walikuwa sio wazinifu tokea mwanzo hawazini, wanao zini ni malaya tu na waume zao ni malaya pia, sa hata...
Hakuna hata Quote yangu ya dini imetoka kichwani, we ndo mjinga hujui dini unajidai unajua dini.
Nilisahau ulisha jisema we ni kichaaa
...Ukiwa kichaa lazima utajikanyaga kanyaga tu:biggrin:
Nimekuambia leta point ya ubishi wako wapi kutongozwa mwanamke ni dhambi?
Ulipo jiona huna point...
Koko ni nyie weusi toka lini mwarabu akawa koko...nakumbuka hata Netherland siku moja Mductch mweusi anamcheka mwafrika mweusi kutoka Nigeria...Yani mpaa mnajicheka nyie wenyewe kwa wenyewe:biggrin:
Mgekua si mivivu msinge kufa njaa, nchi zinazo kufa njaa ni Africa tu....mmezowea kuomba chakula...
We na jamaa yako hamnibabaishi, afu nani kaleta dini hapa, tuulicho ongea kutongozwa sio dhambi jamaa ndo kaleta dini.
Afu dunia bila dini inaenda wapi, isipo kuwa wajinga kama nyie ndo mnasema dunia inaenda bila dini:biggrin:
Niko busy kwa sasa lakini tamake sure kila siku naingia mpaa nione...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.