fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,031
I'm not a slave :biggrin:The lowest caste of Arab
Mwenye asili anajulikana tu, nyie kama ni makhadimu/watumwa ni nyie tu ndo mana mkawachukia warabu:biggrin:
I'm not a slave :biggrin:The lowest caste of Arab
Ghadafi alikuwa ana asili ya ki Italiano/kiyahudi kujua kiarabu au kutawala nchi ya kiarabu hakijamfanya yeye kuwa mwarab safi hata siku moja...:biggrin:Jibu hoja ya Gaddafi, sijui ni nani mu-arabu kati ya wewe na yeye:
Jibu swali hili:
Ghadafi alikuwa ana asili ya ki Italiano/kiyahudi kujua kiarabu au kutawala nchi ya kiarabu hakijamfanya yeye kuwa mwarab safi hata siku moja...:biggrin:
Tuondokee hapa koko wewe.....
Hata huko kwenu mnaitwa warabu waswahili.....uarabu huo unaringia ni upi. No one hates anybody my friend, I have got my life.I'm not a slave :biggrin:
Mwenye asili anajulikana tu, nyie kama ni makhadimu/watumwa ni nyie tu ndo mana mkawachukia warabu:biggrin:
FYI mimi ni katika Masheikh Al Arab hata kama naongea kiswahili, siku zote warabu wanafata kwa baba hawafati kwa mama na hata wakifata kwa mama upande wangu mama ni mwarabu pure ni bibi yake tu ndo alikuwa mwafrika, ndo mana ukaona King Abdullah wa Jordan alikuwa hajui hata kiarabu...lakini anaitwa nani ni King....Kama mimi huwezi kuondoa ukabila wangu na sijaona hata siku moja mwarabu kanidharau mimi:biggrin:Hata huko kwenu mnaitwa warabu waswahili.....uarabu huo unaringia ni upi. No one hates anybody my friend, I have got my life.
Sasa wewe uarabu(uislam_so to speak) umekuathiri isivyo kawaida,..yaani kitu chochote waarabu wakisemwa unatoa mapovu bila hata kupima mizani,...hebu waone walivyo nenepeana na wanavyoangalia huo mchezo kwa uvivu...acha ubishi mkuu
Alot of nations are wealthier by far than saudi arabiaC R A P!
I dont think Saudi men are lazy...wealthy enough to hire live in help to do the things they dont want to do themselves:biggrin:
Mkuuu ni kwamba hawafanyi mazoezi hao mamwinyi.na vile wanawake.wao hawatoki hata nje ndio kabisaaKama kipimo kilichotumiwa ni unene tu, unene unaweza kuwa genetic. Au unaweza kutokana na kula sana, sio uvivu.
Wacheza mieleka ya Sumo wanene kichizi, lakini huwezi kusema wavivu.
This sounds like one of those bogus studies.
This is not to say that they (Saudis) are lazy, or are not.
Merely that the reasoning given is sloppy.