Recent content by Faza 99

  1. Faza 99

    JamiiForums naomba mnipokee

    Huyu kweli ni member mpya! Najaribu kutafakari tu wahuni watakavyokimbilia pm
  2. Faza 99

    Leo nimepatikana ushamba ni kitu kibaya sana ndugu zanguni

    Nilkuwa najaribu kumkumbuka aliyetoa ombi hili kumbe ni wewe heshima kwako na bosi kiduku kwa pamoja mmefanya kazi nzuri
  3. Faza 99

    Sembe kilo imefika 1800 kwa sasa tutashaa

    Wapi huko mzee maana sisi huku kwetu tunaishi nayo kwa buku tu
  4. Faza 99

    Kila mwanamke ninayemuhitaji ananikataa, nimeelezwa nije humu huwenda mtanisaidia

    Hakuna mtu anayekosa mwenza katika dunia hii! Tatizo lako unaowataka hawako class yako wewe! Tafuta msichana mnayeendana ushajua sura yako ni shida wafuate wenye sura kama yako! Hata wale waokota makopo na walevi wa mataputapu wana mademu zao wanaofanana! Sasa wewe ndugu upo kwenye low class...
  5. Faza 99

    Brothers let's do this

    R.I.P son of Africa
  6. Faza 99

    Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

    Faza umenielewa sana ila unatamani ningeeleza deeply zaidi! Hakika amini wenye tuko na elimu ndogo tuna uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kwa ushawishi mkubwa kuliko wasomi!
  7. Faza 99

    Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

    Shehe achana nalo hilo pumba kichwani
  8. Faza 99

    Natafuta patner ambaye ni HIV+

    Good lucky
  9. Faza 99

    Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

    Madame asante kwa kunukuu maandiko kutoka kwenye biblia ila ingefaa zaidi kama ungetambua kuwa mimi sio mpinga kristu pia sipo interested na maswala ya dini hali kadhalika mimi sio mtenda maovu
  10. Faza 99

    Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

    Usiniwakie faza! Kwanini kilichokuuma ni nini hapo? Kuacha shule au kutofuata maswala ya kiimani? Alafu wewe utakua mla dumu mwenzangu bila shaka
  11. Faza 99

    Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

    Uko sahihi! But wapo vijana wanaojiita degree holders na wananiita boss and I pay them monthly
  12. Faza 99

    Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

    Faza una umri gani kwanza? Nahofia kukujibu vibaya kuepuka laana
Back
Top Bottom