Kiukwel hii hali sio dar pekee hata tulio nje ya tz hali hii inatupata sana ,, fikiria mtu mlikua jiran tu mmekua wote anatafuta namba yako anakupigia anasema yupo sehemu kaja kutafuta maisha ,,anaomba afikie kwako hapo hapo anakwambia yupo na rafiki yake ,,unafikiria ukiangalia unafamilia...
Mungu atakubariki na utafanikiwa kwa uwezo wake,,,hyo pesa ni nying sana ukiwa na Malengo na ukituliza akili ,,,mi nakumbuka nilipewa laki 1 tu na nilitoka dar kwenda mkoa ambao sina ndugu wala jamaa.
Polen sana ila mi naona unatakiwa uchomwe sindano mana inaweza kuwa ni magonjwa ya zinaa ,,,t
Dawa yake hapo ni panadol injection kwa wiki mara moja umalize dozi nzima..
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.