Recent content by fatmanuria

  1. fatmanuria

    TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

    Innalilah wainnailah rajiun
  2. fatmanuria

    FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  3. fatmanuria

    Watu wa Dar acheni kuwatelekeza ndugu zenu stendi

    Kiukwel hii hali sio dar pekee hata tulio nje ya tz hali hii inatupata sana ,, fikiria mtu mlikua jiran tu mmekua wote anatafuta namba yako anakupigia anasema yupo sehemu kaja kutafuta maisha ,,anaomba afikie kwako hapo hapo anakwambia yupo na rafiki yake ,,unafikiria ukiangalia unafamilia...
  4. fatmanuria

    Ulishawahi kupoteza marafiki sababu ulishindwa kutoa mchango wa harusi?

    Mimi nahisi ndo unaelekea kufa,,,mana ndo nimetumiwa ujumbe wa mchango na dalili zote zinaonyesha sitaweza kumchangia..
  5. fatmanuria

    Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

    Unamaanisha boda boda hawana majukumu mengine yakifamilia, ndugu, jamaa, na marafiki , wenyewe ni kushinda na kulala barabaran??
  6. fatmanuria

    Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

    Ahsante sana kwa story nzur yenye mafunzo mengi tu .yote kwa yote tujifunze kuridhika na kidogo tupatacho..
  7. fatmanuria

    Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

    Yan nimekua addicted na hii story kila saa nachungulia.
  8. fatmanuria

    Finally naanza upya maisha ya kujitegemea nikiwa mfukoni nina laki 8 tuu

    Mungu atakubariki na utafanikiwa kwa uwezo wake,,,hyo pesa ni nying sana ukiwa na Malengo na ukituliza akili ,,,mi nakumbuka nilipewa laki 1 tu na nilitoka dar kwenda mkoa ambao sina ndugu wala jamaa.
  9. fatmanuria

    India : Taharuki baada ya Nyani kuiba sampuli za damu za waonjwa wa COVID19 kuzitafuna na kukimbia

    Ilitakiwa wamuue na bunduk hapo hapo juu ya mti ili kuepusha madhara makubwa yatakayojitokeza baadae
  10. fatmanuria

    Mtoto wa dawa anavyosumbua wazazi

    Hahahahahaha, ,,,,,,,, ,kila mtu atulie kwakwe kipind hchi cha Corona,,,,,,,pole sana Sent using Jamii Forums mobile app
  11. fatmanuria

    Please Tusaidieni Mimi na Mke wangu tunaumwa fangus kwenye nyeti kwa muda mrefu bila kupata

    Polen sana ila mi naona unatakiwa uchomwe sindano mana inaweza kuwa ni magonjwa ya zinaa ,,,t Dawa yake hapo ni panadol injection kwa wiki mara moja umalize dozi nzima.. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom