Recent content by father109

  1. F

    Wajue Mahasimu wa Januari Makamba

    Kampeni zisha anza....
  2. F

    Code za kutumia

    Msaada tafadhali jinsi ya kujitoa...nimejaribu zimekubari nashindwa kujitoa na kunamgen namsubiri stend..nadhan atakuwa anapiga anaambiwa huduma zimezuiliwa
  3. F

    Ni mamlaka gani zinazojishughulisha na usalama wa mazingira ya Baa?

    Habari wana jf, kuna bar ina kisima ndani kwenye eneo la dancing floor.wenyewe wanadai kipind chanyuma hicho kisima kilikuwa nje. Walivyopanua jengo kikamezwa ndani. Sasa hiki kimekua hatari kwa wanywaji wa bar hii hususan kwa muda ambao wamelewa. Tume mshauri mmiliki wa bar hi marakadhaa...
  4. F

    Ni kampuni gani bora inaweza kunitengenezea vifungashio?

    Habari wanajukwaa... Ni kampun gan bora inaweza kunitengenezea vifungashio. Vifungashio navyo hitaji ni vile ambavyo vipo katika mifuko ya bahasha.ndani inakuwa miwili miwili kama ilivyo kwenye mifuko ya cement.pia nahitaji vifungashio vilivyo ktk mfumo wa sulfate pia nahitaji kampuni nziri...
Back
Top Bottom