Ni lugha ambayo imekosa kuwa na herufi zake zenyewe. Hizi herufi zote tunazozitumia katika kuumba maneno ya kiswahili tumechukua kwa wazungu (a,b,c,d,e... na a, e, i, o, u). Ikasababisha baadhi ya maneno tuyatohoe kutoka kwenye lugha ya kiingereza kwasababu tulikuwa bado hatujajiandaa...