Natumia gari aina ya Vitz old model gari hii inatabia ya kuwasha taa nyekundu kuashiria kuwa tempreture ya gari iko juu pindi jua linapokuwa kari sana na hali hii inapelekea gari kukosa nguvu ama kuzima kabisa.
Ila pindi inapowasha taa ya kuashiria kuwa gari inachemsha huwa naangalia kama maji...
Za muda huu..
Natumia gari aina ya Vitz old model gari hii ina tabia ya kuwasha taa nyekundu kuashiria kuwa temperature ya gari iko juu pindi jua linapokuwa kali sana na hali hii inapelekea gari kukosa nguvu ama kuzima kabisa.
Ila pindi inapowasha taa ya kuashiria kuwa gari inachemsha huwa...
Hi
Naomba kujua ni mtandao uoi wa simu una unlimited internet for youtube kwa njiarahisi mtandao upi unatoa unlimited bundle za youtube!!??
Najua Halotel wana Royal Bundle but once ikiisha zile GB walizokupa mtandao kasi yake inapungua.
Hi,
Dunia ya sasa mambo mengi yamekuwa yanabadilika kwa kasi na sasa Youtube imekuwa kama television ambapo imekuwa ina mambo mengi mno ambapo yanakuwa yanaonyeshwa kupitia channel ambazo zimefunguliwa huko.
Swali langu ni kwamba ni mtandao gani ambao naweza kupata unlimited streaming ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.