Husika na mada tajwa hapo juu,
Mimi ni mtumishi katika Secta Binafsi hapa nchini Tanzania.
Katika utumishi wangu nimefanikiwa kujichanga mpaka kufikia million 50. Hizi pesa ziko kwenye account bank lakini naona zimekaa tu nazidokoa dokoa ila kwa sasa natafuta taasisi gani ya Kifedha mfano hizi...
Sina cha kusema zaidi ya kumuomba Mungu azidi kuwapiga pini kwenye maokoto. Otherwise kuna hatari ya mm kutimuliwa nyumbni
Sent from my SM-N980F using JamiiForums mobile app
Mkiwa kazini huwa mna mbwembwe nyingi sana kana kwamba hamtastaafu. Haya sasa fainali uzeeni. Nakutakia mapambano mema
Sent from my SM-N980F using JamiiForums mobile app
Nawaza sijui nikutumie pesa kdgo kama laki moja au nikuombee dua. Maana umetoa majbu yaliyonyooka na yenye ukweli mtupu. Ukipingana na nature utaumia sana
Wanasiasa watu wa ajabu sana. Lile bwawa ukweli ni kwamba kukamilika kwake ni 2025 ila 2024 watafanya majaribio ya tundu moja kati ya 9 kuanza kuzalisha umeme.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.