Wakati maelfu ya watu nchini wakiamini kutoonekana hadharani kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibroad Slaa kunatokana na kuchukizwa na kitendo cha kukaribishwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa , ukweli wa jambo hilo umeibuliwa. Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya chama hicho...
Kinachonishangaza EWURA walitangaza ushukaji wa mafuta nchi nzima tangu Disemba na hadi jana mafuta ya petroli bara yanauzwa 1623 lkn huku kwetu zanzibar bei bado ni 1965.
Sijui wenzetu wa Zanzibar mafuta wanayachukua nchi gani au sie tupo nchi tofauti na Tanganyika.Kibaya zaidi hali ya uchumi...
Escrow ni jammi ya panya road tofauti yao ni wezi waescrow wanatumia kalamu na panya road wanatumia mapanga..... Mchungaji godfrey sombi
Source. Jicho ndani ya habari. Star Tv
Wale wote waliochana kazi zao kufatilia mwenendo wa usomaji report ya tegeta escro waisubiri ijioni kutokana na majadiliano ambayo bado yanaendelea kati ya speaker na kamati kuu ya bunge kwa ujiyo wa zuio la mahakama.
Neneda kwenye celullar-celullar data network- jaza chochote kwenye APN ya personal hotspot. Mfano web. Kisha ukirudi nyuma kwenye cellular data utaiona personel hotspot itakuepo.
Hii kitu itafixiwa kwenye ios 8.1 itakayotoka end of this month
kweli unavosema mods kaaribu kila kitu nina picha na video nimetaka nikuekeni yalokuepo pemba lkn nimeshindwa cz uzi wangu ndio umewekwa pamoja na huo wa jana ulokuepo unguja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.