Recent content by faron

  1. F

    Utata wa Voda na Jay milioni

    Hakuna mchezo wa hela..Voda ni wezi sana hilo halina ubishi, mimi nilijiunga na kifurushi cha voda cha sh1999 anbayo walinipa dakika 29, nilipiga cm moja ambayo nilitumia sec 34 wakanitumia ujumbe salio langu la cheka limekwisha
  2. F

    Mishahara ya Polisi ya mwezi wa pili

    Swala la kukopa na mshaara linahusiana nn? Tambua mshaara ni siri ya mfanyakazi na mwajiri tu sio vinginevyo, Mwambie akulipe hela yako aache ujanja ujanja..kwani shida haina mwisho
  3. F

    Mtu anayejihami akimuua mtesaji wake sheria inahukumuje?

    section 198 penal code "mtu yeyote anayepatikana na kosa la kuua bila kukusudia adhabu yake ni kifungo cha maisha gerezani"
  4. F

    kwa lugha ya kwenu hili neno linaitwaje

    Hasara kwa kizaramo ni jina la mtu! si hilo tu pia kuna mengine kama vile siajabu, siyenu,Nifanyeje,kazamwendo,Mkegani...
  5. F

    Ticha na denti,kama ushaiona potezea

    atakuwa ticha wa maarifa ya jamii tu huyu tena darasa la tatu
  6. F

    Hadithi ya kichina inaliza na huzuni

    mbona hujamalizia! huyu mzee li xing si alienda kumpa.....?
  7. F

    Mchezo wa leo

    kababu, KUMAlizashule
  8. F

    Majeshi ni kwa ajili ya form 4 failure tu

    Kuongea ni haki ya mtu, lakini haki bila mipaka ni chanzo cha uvunjifu wa amani.mi naona ungefanya utafiti kwanza kabla ya kutoa pumba zako. Kwa mtazamo wako wewe jeshini wapo form four tu? Nenda pale chuo cha polisi kilwa road au nenda chuo cha magereza ukonga utawakuta wanaofundisha elimu ya...
  9. F

    Msaada wa kisheria

    ipo taasisi inayotoa msaada wa kisheria tena bure kabisa, fika Temeke U/Taifa karibu na ofisi ya mkuu wa wilaya utakutana na wataalam watakao kusaidia
  10. F

    Sheria ya makosa ya jinai

    Hakuna hesabu za kifungo cha usiku na mchana ila jeshi la magereza limepewa mamlaka ya kupunguza adhabu kwa mhalifu aliyehukumiwa kifungo kwa 1/3 ya kifungo chake ila haki hii hawastahili wafungwa wa kunyongwa,viboko na wa maisha
  11. F

    Je, ugoni ni kosa la jinai ?

    kisheria ugoni sio kosa la jinai ila jinai itakuja pale tu matokeo ya hilo fumanizi kwa sababu baada tu ya kumfumania mgoni he/she may react inapofikia hapo uvunjifi wa amani utokea ila kama hakuna fujo au uvunjifu wowote wa amani na aliyefumania akaenda mahakamani itakuwa ni civi case
  12. F

    Hivi kwa hili nastahili nini kisheria

    mshahara wako ulisimamishwa katika kipindi cha ukaguzi wa vyeti na cheti chako kilikuwa na walakini, wakati uchunguzi juu ya uhalali wa cheti chako unaendelea wewe uliamua kuandika barua ya kuacha kazi, kabla barua yako haijajibiwa wewe ulitoweka kazini bila taarifa yeyote..sasa basi ukitaka...
  13. F

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    chigandugandu, kitope, mzelezi, mwache apotee (mahenge)
  14. F

    Misemo mingine jamani loooh

    kazi ya moyo kusukuma damu, kupenda ni kihelehele chake tu
  15. F

    Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

    Mwalimu domo la mbwa sm mtoni kwa mama merry na mwalimu mnapoli
Back
Top Bottom