Karibu TICHA tupo pamoja unajua watu niwagumu sana kuelewa mpaka wa pate mitihani. Je kwa wa kristo mliopo kwenye jukwaa hili roho mtakatifu ni nani naomba majibu then nitaeleza uelewa wangu.
Msaada unatakiwa jinsi ya kuandika dissertation ya Nutrition. Elimu ni Bsc Nutrition. Title ni Nutritional status of children in Africa, special reference to Burundi. Je nitaiandaa vipi?
Mie ni mwanafunzi Wa mwaka Wa tatu. BSC Nutrition. ninahitaji msaada Wa jinsi ya kuandika dissertation. Title yake ni Nutritional status of children in Africa,special reference to Burundi
Naomba kama mtakuwepo tukumbushane enzi zile za kuponda kokoto mambo ya jiwe wilolesi pia na mambo ya vikosi vya zamu. R-ip Kajiba kweli alitulea kijeshi sana.
cool 9 alikuwa ni mtu maarufu sana mkoa wa iringa miaka ya 80- 90 nakumbuka kipindi dada zangu wakiwa wanasoma secondary wakiwa wanasafari za disco alikuwa anawasumbua sana ila kunasiku sister alikuwa anatoka iringa hotel kwenye graduation cool 9 akawa anataka kumfanyia fujo sister wacha ale...
nilikuwa nimechoma sindano ya kuzuia ujauzito mwaka jana mwezi wa tano. ila nikawa naenda breeding kwa muda wa miezi mitatu bila kusimama. baada ya hapo siku zikabadirika kwa mwezi ninakuwa nina breed mara tatu. na siwezi kushika ujauzito ninataka kujua je ninatatizo gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.