nilikuwa nimechoma sindano ya kuzuia ujauzito mwaka jana mwezi wa tano. ila nikawa naenda breeding kwa muda wa miezi mitatu bila kusimama. baada ya hapo siku zikabadirika kwa mwezi ninakuwa nina breed mara tatu. na siwezi kushika ujauzito ninataka kujua je ninatatizo gani.