Kinyerezi imekuwa sugu watu wameanza kuzoea maji ya visima.hakuna tangazo wala maelezo yeyote wanaona ni kawaida tu.huduma muhimu kama hii.kwakweli ndio mnafanya wananchi wawaze kubadili uongozi.
Huyu hassan ngoma amefanya wengine tuache kuangalia clouds.ana masifa sana yamepitiliza,ujuaji mwingi.sijui teuzi ndio anaziwazia.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuwaje kipindi hiki mvua zinanyesha,maji ni mengi kwenye vyanzo.watu kinyerezi tunapata maji kwa mgao wa siku 3 kwa wiki.hivi na janga hili bado dawasco mko nyuma kiasi hiki.ni aibu sana kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeumwa kuanzia ijumaa,leo ndio nahisi nafuu.homa kali sana,kikohozi hadi mbavu zinabana na mafua.nilipata hofu kubwa sana.nilichoweza kufanya nilianza dose ya ciproflaxin mg500.sambamba na menthodex syrup na panadol.kwakweli hali ilikuwa ngumu sana.nashukuru leo sijambo.muhimu tujitahidi...
angalia aina ya mafuta unayopaka kama ni ua kulainisha sana ngozi inaweza kuwa sababu.wakati mwingine ama sabuni .jaribu kufua sana zinaweza kurudi.ila nimewahi kumuona mama mmoja ambaye hana kabisa hizo nilimkuta nssf na wao wanajua shida yake.NB kiutani watu wa namna hii ni wale born...
Kwahiyo aliyemteua nae alikuwa hajui kabla ya uteuzi kuwa alikuwa anafanyakazi gani?nilidhani cv hutumika kwenye teuzi.walipaswa kujua mapema lakini kuuliza alikuwa anafanyakazi gani kabla ni dhahiri sio yeye aliemteua.
Yeye alikupenda kwa dhati.na anaumia hukuwepo mazikoni wala hukiwahi mtembelea malaloni.kamtolee sadaka na uzuru kaburi ataridhika na kulala salama.Mwenyezi mungu ampe kila rehema .
Mzee atakuwa hana mke halafu anapenda vibinti vidogo.ameona mwanae akiona anawaleta home ni aibu.nafikiri hivyo.ninavyojua mimi kwa asilimia kubwa wababa huwa wanawapenda sana binti zao sio rahisi kuona anateseka akavumilia.
Tuliambiwa serikali imekuwa kali kwenye taratibu za usaji.lakini sidhani kama makampuni yanafuata hizo taratibu.kila siku tunapigiwa simu na kutumiwa sms za utapeli.ina maana usajili wa hawa watu hauko sahihi.kama ungefuata utaratibu wangeogopa.nadhani iwepo sheria sasa ya wananchi kuyashtaki...
Kaka zetu mbona mnatuangusha sana.angekuibia wewe ungekaa kimya.sema umeogopa kupigwa na teja.mkiitwa wanaume wa dar mnachukia.hii stori labda iishie dar .wa mikoani wakiiona ndio utapata majibu sahihi.wewe ndio mmojawao wanaowaponza wengine kuitwa wanaume wa dar.kwahiyo unatetea wizi.daaah wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.