Msaada nyumba ina mauzauza

Msaada nyumba ina mauzauza

zamani nilikuwa najua ni story za kutungwa tu au chai lakini hii nimeshuhudia mwenyewe,ni hivi mzee aliamua kujenga kibanda ( nyumba) katika wilaya moja ya pwani nyumba ilijengwa kwa madhumuni kama tukitaka kwenda tuwe na mahali pakufikia bahati mbaya ile nyumba toka ijengwe hatujawahi kwenda tukaona isiwe kesi yasije kuwa mahame tukatafuta watu wakae ili pachangamke kidogo kilichowakuta wamefungasha virago wenyewe ndani ya week ni kwamba usiku wakilala wanapigwa makofi na kucharazwa bakora, juzi wamepashindwa wamerudisha funguo sio kwa bakora na makofi wanayopata,msaada jamani njia gani ya kuweza kufukaza hao viumbe ......

Yawezekana mzee aliwajengea hao viumbe wahishi humo, lakini ninyi mkaamua kuwadhulumu na kuwahanganya na watu, ndiyo maana hao viumbe wanawacharaza bakora kulinda himaya yao
 
Mzee ukishindwa toa ushauri unaweza kaa kimya tu
Yawezekana mzee aliwajengea hao viumbe wahishi humo, lakini ninyi mkaamua kuwadhulumu na kuwahanganya na watu, ndiyo maana hao viumbe wanawacharaza bakora kulinda himaya yao
 
Hao wapangaji watakuwa wanga wanawangia wanakijiji Sasa wameamua kuwarudi kwa viboko waambie wahame haraka wanga hao
 
Nipe mimi nithibitishe. Hayo madude yanatisha watoto. Nenda na nyama ya nguruwe tu
Akichoma kiti Moto au kupika hapo ndani majini lazima yakimbie yakimbilie msikitini.Kiboko Cha majini Ni kitimoto .Hata mtu akiwa na majini mlishe kitimoto yataondoka hayarudi tena
 
Akichoma kiti Moto au kupika hapo ndani majini lazima yakimbie yakimbilie msikitini.Kiboko Cha majini Ni kitimoto .Hata mtu akiwa na majini mlishe kitimoto yataondoka hayarudi tena
Sasa huo si ushirikina tena yani unaamini nyama ya nguruwe ina uwezo wa kutoa majini?
 
Hamna ugomvi wa ndugu wa mirathi ya Huyo babu yenu? Na hamna kaburi Hilo eneo msije kuwa mumejenga karibu ya kaburi au juu ya kaburi Kuna Marehemu wengine wakorofi hawatulii kwao walikozikwa hutoka kufanya vurugu hasa Kama walikuwa Vibaka Vibaka au wavuta bangi
Hahaaa eti kama walikua wavuta bangi
 
zamani nilikuwa najua ni story za kutungwa tu au chai lakini hii nimeshuhudia mwenyewe,ni hivi mzee aliamua kujenga kibanda ( nyumba) katika wilaya moja ya pwani nyumba ilijengwa kwa madhumuni kama tukitaka kwenda tuwe na mahali pakufikia bahati mbaya ile nyumba toka ijengwe hatujawahi kwenda tukaona isiwe kesi yasije kuwa mahame tukatafuta watu wakae ili pachangamke kidogo kilichowakuta wamefungasha virago wenyewe ndani ya week ni kwamba usiku wakilala wanapigwa makofi na kucharazwa bakora, juzi wamepashindwa wamerudisha funguo sio kwa bakora na makofi wanayopata,msaada jamani njia gani ya kuweza kufukaza hao viumbe ......
Mifupa ya nguruwe.
Maombi.
Bangi nk.
 
Fundi maiko at work . Hebu angalieni hapo hamna fundi anaye wadai kwenye ujenzi wa hiyo nyumba mmh!
 
Yani tz ccm itatawala milele

Bado kuna watu wanaamini huu upuuzi?
 
Hamna ugomvi wa ndugu wa mirathi ya Huyo babu yenu? Na hamna kaburi Hilo eneo msije kuwa mumejenga karibu ya kaburi au juu ya kaburi Kuna Marehemu wengine wakorofi hawatulii kwao walikozikwa hutoka kufanya vurugu hasa Kama walikuwa Vibaka Vibaka au wavuta bangi
[/QUOTE
Nimecheka sana
 
Back
Top Bottom