Recent content by fandeys

  1. fandeys

    Halmshauri ya Jiji la Dar toeni risiti za TRA

    Kituo cha mabasi Msamvu Morogoro nao hivyohivyo. Hawatoi risiti za tra wao wanatoa zile kama za Daladala maarufu kama vishina. Rais aliamrisha wafanyabiashara watumie efd lakini Msamvu wanafanya biashara wamegoma
  2. fandeys

    Wanawake hatari wakuoa!

    Mwanamke yeyote hachungwi na mumewe hata kama hatoki ndani anachungwa na hofu ya Mungu (popote atakapokuwepo Mungu anamuona). Oa mwanamke yeyote ili mradi awe anampenda Mungu kwa dhati (sio kuigiza) huyo ataogopa kutenda dhambi ya ngono sio kwasababu hakutani na watu bali anamuogopa Mungu kwamba...
  3. fandeys

    Msamvu na risiti za vishina

    Rais wangu, Msamvu stendi mpya wenzako bado hawatoi risiti za EFD. Mwanzo tuliambiwa baada ya stendi kuanza kutumika zitakuwepo za EFD. Kwingineko kote hadi parking tunapewa risiti za EFD usipokuwa Msamvu tu...Msamvu wao ni Exceptional maana EFD haziwahusu, wao wanajiamulia tuwenyewe.
  4. fandeys

    Msaada MHL kwenye Flat Screen Sony Bravia

    Check link him haha MHL® – Devices
  5. fandeys

    Lukuvi, mwezi mmoja ulioutoa kwa manispaa Morogoro kutoa hati wameupuuza

    Katikati ya mwezi wa kumi, Waziri wa Ardhi Lukuvi akifanya ziara ya kustukiza ofisi za Ardhi Morogoro na kukuta Madudu ya hali ya juu kuhusu ukiritimba na Umungu Mtu wa baadhi ya maafisa ardhi ambao wamekuwa hawatoi hati za umiliki wa ardhi kwa wananchi. Pamoja na hatua mbalimbali alizofanya...
  6. fandeys

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Morogoro wateja wengi sana mpaka mayai yanashindwa kukidhi uhitaji. Wengi wanataka yenye jogoo kwa ajili ya kutotolesha
  7. fandeys

    Automatic incubator clearance sell

    Nambieni wadau. Kuna incubator pc 3 zimebaki baada ya mauzo ya sabasaba na nanenane (mpya). Mayai 528 sasa ni 2100000 badala ya 2500000, na mayai 96 sasa ni tsh 600000 badala ya 750000, na mayai 72 sasa ni tsh 500000 badala ya 600000. Wahi, first come first saved.0713600071
Back
Top Bottom