Recent content by fanako

  1. fanako

    Natafuta kazi napatikana Moshi Mjini

    Mimi naweza naomba kazi nipo arusha mkuu mawasiliano ni 0621703000
  2. fanako

    Natafta kazi yeyote halali Niko mkoa wa Arusha

    Mimi ni kijana mwenye miaka 25, naishi mkoa wa Arusha ,elimu yangu ni kidato cha nne, naomba mwenye kazi yoyote kama kichwa cha habari nilivyo andika anisaidie, nna uzoefu mzuri katika kazi za jikoni kwa upishi wa vyakula mbalimbali ikiwa ni pamoja na usafi wa jikoni unahusika pamoja na vyombo...
  3. fanako

    Nahitaji msaada wa kazi yoyote au kibarua chochote

    Ndugu Mimi nipo arusha naomba niunganishie Mimi napiga kazi yeyote kaka
  4. fanako

    Vilio vya wafanyakazi wa Mount Meru Hotel - Arusha

    Kuna bosi mto wa mbu ana lodge sitaitaja jina iyo lodge bana mwenye nayo akiona booking ni chache anawalipa nusu mshahara kuanzia kwa manager hakuna mtu anafikisha. Lakin mbili na nusu yaani ni unyonyaji mtupu kwa mabosi wa hoteli jaman
  5. fanako

    Naomba msaada wa nafasi ya kazi

    Mimi Nina diploma ya travel and tourism, pia ninaweza kuongeza watalii *Tour guide * pia kuhudumia hotelini yaan service pamoja na kufanya usafi kama kufagia , kuchonga fance nafahamu poa Mimi ni dreva Nina leseni ndogo class D Naomba kazi kwenye sector izo Nina uzoefu wa kutosha
  6. fanako

    Ajira za posta clerk zenye deadline tarehe 02/03/2023 majina ya wasailiwa yanatoka lini?

    ndgu yangu kua na subira mimi kuna kazi niliomba mwaka jana mwezi wa tano wakaitwa interview ya kwanza mwezi wa tisa na tangazo la kuitwa kazini lilitoka mwezi wa kumi na moja hapo mwajiri alikua ni TAWIRI japo mimi sijawa shortlisted kwa kipindi icho lakini ni kwamba walikaa mda sana ivyo...
  7. fanako

    Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

    sijui namna ya ku PM ila na mimi nina linalofanania na hilo
  8. fanako

    Mishahara ya Ngorongoro Conservation Area huwa ni kiasi gani?

    office atte office attendant wa TANAPA anapata ngapi
  9. fanako

    RE-ADVERTISED: Nafasi za Kazi Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro - NCAA

    apana TANAPA ni shirika la kiserikali sawa lakini kimapato bado NCAA inawaongoza hao TANAPA mfano mtu ili aende serengeti asilimia kubwa wanapitia NCA na kwenye bajeti ya wizara NCAA anatoa asilimia kidogo kuzisaidia hifadhi ambazo hazijiwezi kimapato mfano wa hifadhi ambazo bado mapato yao yako...
  10. fanako

    Wanawake maofisini ni sawa na "ng'ombe kwenye duka la kichina"

    mimi kuna watu wawili wa kwanza ni msajili veta gorowa ya babati anaitwa madam bayo, na mwingine anaitwa madam hawa ni mkufunzi wa driving pale veta ya manyara yaani hawa wamama mungu awajalie maisha marefu na ya baraka sana jamani yaani wanatoa huduma mpaka mtu unatamani kila siku upate shida...
  11. fanako

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    msigazi olimsiani kumbe
  12. fanako

    Nani ameshawahi kupata Kazi au internship kupitia TaESA (Tanzania Employment Agency)?

    niliatach kila kitu wanacho hitaji kule kwenye website yao then nka submit na ikawa aproved
  13. fanako

    Nani ameshawahi kupata Kazi au internship kupitia TaESA (Tanzania Employment Agency)?

    ilo kweli maana mimi apa nilituma application tarehe 6/12/2022, na tarehe 8/12/2022 ikawa aproved, then tarehe 13/12/2022 nkaitwa kwenye interview ilifanyika tarehe 14/12/2022 uko arusha
  14. fanako

    Unadhani kwanini vijana wanapenda sana kuajiriwa serikalini kuliko kampuni binafsi?

    yaani mimi nkifikilia iyo na nkatafakali na soko la ajira lilivyo gumu naona angalau niende zangu kusomea driving angalau niendeshe ata viongozi serikalini jamani
Back
Top Bottom