Recent content by famou guy

  1. famou guy

    Mwigulu Nchemba ajiuzulu nafasi ya Naibu Katibu Mkuu CCM

    si ajiuzuru na unaibuwaziri
  2. famou guy

    Kikwete na Msumari wa Mwisho: CCM Tutambue watu wanachukizwa na watu na namna gani?

    mmmmh me naaamini kwamba chama tawala hakuna msafi wote wapigamadili2 na kinachotokea saahii ni kufutana kwenye makundi yao kila mmoja anavutia kwenye kundi lake wote magamba wanajua wachokitafuta huko ikulu
  3. famou guy

    Wajumbe Kamati Kuu: Ni Lowassa Pekee Ndiye wa kuibomoa UKAWA!

    Hivi kweli wa Tz bado wapun wapumbavu kiasi hicho tangia uhuru mpaka sasa? sidhani make Lowassa haitakii mema nchi hii na hii ilisha ta biliwa na baba wa taifa kwamba muhogope mtu anaye toarushwa ili awe kiongozi miez hii Lowassa anagawa pesa kama njugu na alishaga mwambia askofu mmoja bukoba...
  4. famou guy

    Wanafunzi SAUT Mwanza: Watoa ruksa CHADEMA kuongoza nchi

    wanafunzi wa udom hawako vizuri kifikra make hakuna msomi nchi hii ambaye anawasaport ccm ambao wanamaliza pesa na lasilimali za nchi ambazo zinge tumika kuwapa mikopo chuoni then wana washabikia its a wonderful and shame on them na sasa hivi wame goma eti hawana mikopo ya kujikim miez mitatu na...
  5. famou guy

    Viongozi wakuu CHADEMA kutikisa nchi leo na kesho

    hivi kwanini chadema hamtakagikufanya ziara jimbo la Bukoba vijijini nawapeni ushauri tembeleen jimbo hilo mtalikosa bule nawakati kunawapiga kura wengi sana make sijawahi sikia mmefanya ziara yoyote huko
  6. famou guy

    CCM wakimteua Lowassa urais 2015 atapita bila kupingwa

    fisad na mtoa rushwa ajia amini atakidogo bilarushwa huyu jamaa
  7. famou guy

    Mulugo Karudia Tena Madudu yake!

    walewale kama Lugora
  8. famou guy

    Tamko la ACT-Wazalendo juu ya Ripoti ya CAG mwaka 2013/2014

    daaaaah tumbo ili ni shidaaaa Pole sn mtoto wa Kiha kutoka Kigoma
  9. famou guy

    Ufisadi waivuruga ngome ya Dk. Slaa

    hivi wana jamvi mna fuatilia watu waliofyatuka ubongo yule mama hana akili timamu mimi wabunge wa ccm walio wengi nawaona kama wagonjwa wakutoa pointi sasa huyu mmother anajua akisema hivyo atateuliwa tena wakati dola ndo inashika dola
  10. famou guy

    Mwenye Akili Timamu Hawezi Kuacha Kutaja Jina la Lowassa Kwenye Mafanikio ya Tanzania

    watahojiwa kivipi wakati wanalindwa shame on ccm govern kwamba tume inaona hakuna umuhimu wakuendelea kupoteza muda kwa kuhoji watu ilihali hawa chukuliwi hatua yoyote wote kwa pamoja wa TZ 2kae tukijua ccm yote imechafuka na hakuna msafi wote niblablaaa2 wana takakuendelea kuitafuna nchi hii
  11. famou guy

    CCM kwaiva: Kama si Salim ni Mwandosya

    kwakweli ccm imefika mwisho wanakosa washike wapi waaache wapi duuuuuh mwaka huuu inogilee
  12. famou guy

    Hivi kwanini ITV wanapenda kuripoti habari za migogoro zaidi ya za maendeleo?

    ndugu wana jamvi hayo ndo maswari ya wanarumumba wavumilien
  13. famou guy

    Rais Kikwete Aagiza Kidato Cha 5&6 Kila Kata

    ukistaajabi ya mussa utayaona ya filauni
  14. famou guy

    Prof. Anna Tibaijuka achangia milioni 60 kukuza mitaji ya wanawake jimboni kwake

    tabia za wanamagamba za kuonga watu kipindi cha uchagu wa tz kuweni makini sn kipindi hiki
  15. famou guy

    Sababu zilizosaidia ndege ya Nkurunzinza isitunguliwe Bujumbura

    duuuuh we jamaaa noma ebu tuandalie na ya baba yetu itakuwaje ili la ma rais wa africa nooomaaa
Back
Top Bottom