Recent content by Fale

  1. Fale

    Rais Kikwete ni extra ordinary

    Nakuunga mkono kaka;sijawahi kumshangaa kiongozi yeyote kama JK.Huwa najiuliza ana lengo gani na hii nchi!
  2. Fale

    Katibu Mkuu CCT na TEC: Msimamo wetu ni serikali tatu bila kujali hotuba ya JK

    kweli kiongozi,na mbowe akishangilia haibadilishi ukwl kwmb hotuba ya JK ilikuwa hovyo kuliko maelezo;najiuliza uwezo wake kifikra!
  3. Fale

    Kikao cha UKAWA leo: Lissu na Jussa waokoa jahazi, wajumbe nusura wafungashe virago

    Wapinzani wa nani kaka,au ndio mazoea ya kila asiyekuwa na mawazo kama yako ni mpinzani? JK hajafanya alichotakiwa kufanya(kufungua bunge),yeye ameenda kuchangia rasimu ya katiba ya wananchi jambo ambalo lilitakiwa kufanywa na wajumbe wa bumge au kama ni ufafanuzi wajumbe wa tume kufanya...
  4. Fale

    CHADEMA tumeshindwa Vibaya Uchaguzi huu, Tunahitaji tathmini ya kitaalamu…

    Sijawahi kusikia mtu anamwelekeza adui namna ya kupata silaha bora,acha unafiki!
  5. Fale

    Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Iramba aachia ngazi

    Kwasababu Rushwa ndio mtaji mkuu wa CCM!
  6. Fale

    Nahusishwa kutumiwa na CHADEMA shuleni

    Ndivyo inavyotakiwa,lakini ndivyo inavyotekelezeka Tz?Hapana;kuna watumishi kibao wa Umma jambao ni viongozi wa CCM na hakuna hatua wanayochukuliwa.Mwendelezo wa matumizi mabovu ya rasilimali za umma!
  7. Fale

    Nahusishwa kutumiwa na CHADEMA shuleni

    Kushiriki mikutano au matukio ya CDM ni kutumika?Hakuna kitu kama hicho provided anatekeleza wajibu sawasawa. Kwa kauli yako sitoshangaa ukisema kushiriki mikutano ya CCM ni kuwajibika!
  8. Fale

    UDSM yaongozwa na Mstaafu

    Utakuwa unafikiri kwa kutumia mkia badala ya kichwa!Tukiwa na watu kama wewe na kutegemea mabadiliko ya kimaendeleo hatufiki popote.
  9. Fale

    UDSM yaongozwa na Mstaafu

    Inasikitisha kuna watu wenye fikra finyu kama wewe!
  10. Fale

    Wabunge toka Zanzibar wasiruhusiwe vikao vya wizara sisizo za muungano bungeni

    ...ni sawa kwa jinsi muungano ulivyo,otherwise tatizo ni muungano wenyewe na hapo ndipo uzuri wa hoja ulipo.
  11. Fale

    Wabunge toka Zanzibar wasiruhusiwe vikao vya wizara sisizo za muungano bungeni

    Mvivu wa kufikiri!Hoja ni nzuri na nzito.Kimsingi ilitakiwa ifanywe hivyo vinginevyo ni matuizi mabaya ya fedha na kukosa uzalendo.
  12. Fale

    Rushwa ngome ya CCM -BAGAMOYO

    Acha usanii wewe! Sehemu kubwa sana ya utendaji wa serikali za mitaa ni wa misingi ya rushwa.Nakushangaa unapowasifia polisi,TRA,mahakama na wengne wkt ukijua ulichokiandika jawali ndicho sahihi.Nani asiowajua watumishi wa TRA,mahakama na pia polisi?Hizo ni kati ya taasisi zinazoongoza kwa...
  13. Fale

    Deus Kibamba ni nani?

    sidhani kama hoja ya anafadhiliwa na nani ni muhimu,cha muhimu ni je kuna walakini kwa anachokifanya?jibu ni hakuna.Basi hoja na maswali yote hayana mantiki,hata kumjua mfadhili hakuna maana kama anachokifanya kinakubalika;ofcourse ndio maana yupo na ofisi yake inaendelea.
Back
Top Bottom