Wapinzani wa nani kaka,au ndio mazoea ya kila asiyekuwa na mawazo kama yako ni mpinzani?
JK hajafanya alichotakiwa kufanya(kufungua bunge),yeye ameenda kuchangia rasimu ya katiba ya wananchi jambo ambalo lilitakiwa kufanywa na wajumbe wa bumge au kama ni ufafanuzi wajumbe wa tume kufanya...
Ndivyo inavyotakiwa,lakini ndivyo inavyotekelezeka Tz?Hapana;kuna watumishi kibao wa Umma jambao ni viongozi wa CCM na hakuna hatua wanayochukuliwa.Mwendelezo wa matumizi mabovu ya rasilimali za umma!
Kushiriki mikutano au matukio ya CDM ni kutumika?Hakuna kitu kama hicho provided anatekeleza wajibu sawasawa.
Kwa kauli yako sitoshangaa ukisema kushiriki mikutano ya CCM ni kuwajibika!
Acha usanii wewe!
Sehemu kubwa sana ya utendaji wa serikali za mitaa ni wa misingi ya rushwa.Nakushangaa unapowasifia polisi,TRA,mahakama na wengne wkt ukijua ulichokiandika jawali ndicho sahihi.Nani asiowajua watumishi wa TRA,mahakama na pia polisi?Hizo ni kati ya taasisi zinazoongoza kwa...
sidhani kama hoja ya anafadhiliwa na nani ni muhimu,cha muhimu ni je kuna walakini kwa anachokifanya?jibu ni hakuna.Basi hoja na maswali yote hayana mantiki,hata kumjua mfadhili hakuna maana kama anachokifanya kinakubalika;ofcourse ndio maana yupo na ofisi yake inaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.