Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,792
Hakuna hoja ya maana hapa. Nchi bado inamuhitaji profesa mukandara. Kumbuka huyu gwiji amesoma University of Carlifornia berkeley, one of the very few word class universities. Wamerekani wanaita ivy league. Halafu waraka wa serikali unamruhusu professa kufundisha mpaka akiwa na umri wa miaka 70. Kwa hiyo mukandara bado ana miaka 10 ya kufundisha hapo mlimani.
Acha kushabikia tu, unazijua taratibu za kuwa makamu mkuu wa chuo kikuu? Au nuadhani huo ni uwaziri. Cheo cha makamu mkuu wa chuo au uonozi wowote wa chuo hatakiwi kuwa mtu ambaye umri wake umeshavusha umri wa mtumishi wa umma, anaweza kuendela kufundisha kwa mkataba lakini haruhusiwi kuwa kiongozi wa ngazi yoyote chuoni!