Tuna ushahidi wa kutosha kuwa Mwenyekiti wa tume anapewa fidia na wale waliotangazwa kinyume na taratibu za kupiga kura. Nawajuwa wawakilishi na wabunge ambao wametoa mshahara wa miezi mitatu kwa mwenyekiti baada ya kutangazwa kushinda. Sikuona ajabu alipotamka maneno yale.
Misimamo ni kitu muhimu sana. Mh. Mpina sio mtu wa kuongozwa au kufuata mihemko. Ana nidhamu katika masuala yote yanayo husu jamii yetu. sio mtu wa kuyumbishwa kama tunavyoona wengine katika jamii.
Kwa hali hii, itabidi tuhakikishe matokeo yanatangazwa kutoka vituoni moja kwa moja. CCM, hawana njia ya kuiba kama itakubalika matangazo na matokeo ya moja kwa moja kutoka vituo vya majumuisho. Lakini, kwa kuwa CCM hawaitaki demokrasia ndio tunaletewa TUME ya UCHAGUZI UCHWARA wanao chukuwa...
Tangazo jipya la kuwaondosha zaidi ya familia mia tano katika mtaa wa kikwajuni kwa kuwapa wawekezaji ni kitendo kisicho kubalika kabisa.
Tangu alipoapishwa kuwa raisi, Mwinyi amekuwa ni kitendawili kwa jamii yetu. Fukwe za bahari zote zimepewa wawekezaji kwa kujenga mahoteli ya kitalii. Mitaa...
kutongozana mitaani na kulalana ni kuzini. Drasa la dini ya uislamu inatafautisha Zina na kitendo halali kwa hiyo sio rahisi kufahamu ikiwa humo katika kundi.
kwani tafauti ya kuzini na ndoa ni nini?. Ukizini unazaa na ukioa unazaa. Jiulize tafauti iko wapi?. Lazima uwe muumini kuweza kutafautisha. Vyenginevo tutakula visivo liwa. Tafauti ya kuchinja au kunyonga ndio ile ile tafauti ya ndoa na kulalana.. Tumia akili kidogo, maadili yapo wapi?.
Kuna mila na tamaduni zetu za kiafrika ambazo zinaheshimiwa na sheria za taifa. Mambo ya ndoa na mirathi, kila kabila wana mila zao. Sasa, ukitaka kutawaliwa na sheria za serikali, unaenda kortini. Korti itafanya maamuzi. Lau, utafuata mila za kwenu basi mutagawanya urithi kulingana na mila...
Asnte sana ndugu GOLD BOY. Mimi nakuomba usome zaidi kuhusu UISLAMU. Kuna mambo ambayo baba wa mtoto wa kando anatakiwa kufanya juu ya mtoto huyu. Mambo ya mirathi ni wakati mtu amekufa lakini akiwa hai kuna mambo anatakiwa atekeleze. Pengine utaelimika zaidi ikiwa utachukuwa muda ukapata mtu...
Hata huyo Shaka ukimfuatilia utakuta kuwa wamekuja zenji baada ya mapinduzi. CCM zanzibar, 98% ni watu wenye asili ya bara. Wazanzibari asili wamekataa kabisa masuala ya muungano ndio maana kila kukicha tunaletewa jeshi na nyimbo ya mapinduzxi daima.
Kweli CCM ndio chama peke yake chenye nguvu, uwezo na dhamira ya kuitawala tanzania milele. CCM wana nguvu ya dola, wanawezeshwa na katiba tulionayo ya chama kimoja, na dhamira iliopewa nguvu na uddhaifu na ubobezi ulio wadumaza watanzania. Jamii ya watanzania ni maiti walio hai. Hata wasomi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.