Kweli CCM ndio chama peke yake chenye nguvu, uwezo na dhamira ya kuitawala tanzania milele. CCM wana nguvu ya dola, wanawezeshwa na katiba tulionayo ya chama kimoja, na dhamira iliopewa nguvu na uddhaifu na ubobezi ulio wadumaza watanzania. Jamii ya watanzania ni maiti walio hai. Hata wasomi...
Ni kweli, Kwani muhimbili mulijenga nyinyi?. Wenzetu munatumia nafasi mulizo nazo kujinufaisha. Usitake tushindane. Nyinyi mukifanya ni vizuri kwa jamii na waislamu wakifanya pia jamii inanufaika.
Yaani wengi mumewatukana wazanzibari kwa kosa la wachache. Wengi wazanzibari hawana habari kama unakula au huli. Kwani hiyo serikali yenu ya CCM iko wapi?. Mbona hawchukui sheria kulingana na katiba ya nchi?. Labda ni hao hao ndugu zenu wanafanya hivi. Labda kwa kuwakumbusha musio juwa...
asante ndugu sonafobia. Kwa ufupi,zanzibar ina wakristo wa jadi kabla tanganyika. Wameishi hapa kama wazanzibari na haijatokea sinto fahamu aina yoyote ile. Tatizo linatoka huko bara wakihoji wakristo wa zanzibar. hili, ni tatizo la wabara na sio wazanzibari. Sisi na ndugu zetu tupo pamoja.
They have settled and grabbed our lands in the name of revolutionary alotment. Many of them have been given three acres per person of land confiscated.
Bado huijui historia ya Zanzibar. Naona upo katika ulimbukeni. Tafuta historia ya kweli ya Zanzibar. Hata hao munao sema watumbatu, kawaulize asili yao watakwambia. Soma ujue. Sisi tunaongea , Tanganyika na ukoloni wake dhidi ya zanzibar. Mzanzibari yeyote, awe ana asili ya kibantu etc hataki...
CCM hawajawahi kushinda uchaguzi zanzibar. Sisi hatujawahi kuchukuwa silaha. Lakini wanakotupeleka sio kuzri. Wapalestina na sisi hamna tafauti ila ni miaka na njia ya kukandamizwa.
Mbona munalazimisha muungano?. Sisi hatuja fanya referendum juu ya muungano. Hiyo ni njama ya Nyerere kutaka kuifisidi nchi yetu. Kweli kabisa akili zenu na za mayahudi wanao wauwa wapalestina ni moja. Yaani munauwa na musiambiwe kitu. Zanzibar itabaki kuwa Zanzibar. Huyu kibaraka wenu Mwinyi...
kasugi, huna lakusema wewe una uashabiki kiasi kwamba umeshindwa kufahamu ukweli wa mambo. Kama unamtetea Mwinyi kuwa mzanzibari kwa kuwa mama yake mzanzibari unashindwa kujuwa mfalme wa Zanzibar mamake na babake ni wazanzibari. Ikiwa ni asili, hata nyinyi mulikuja bara generation nene tano...
Kasugi, samahani sana, unapotosha na hayo ulioandika ni matusi. Aliyepinduliwa sio Sultani wa Omani bali ni mzanzibari halisi na ilikuwa zanzibar huru kutoka UINGEREZA. Mkoloni alikuwa muingereza. Acha kupotosha. Nyinyi pia mulitawaliwa. Hamna mzanzibari asili anaekubali kutawaliwa. Hao...
1. What is occupation?
Article 42 of the 1907 Hague Regulations (HR) states that a " territory is considered occupied when it is actually placed under the authority of the hostile army. The occupation extends only to the territory where such authority has been established and can be exercised. "...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.