basi kwa sababu una wasiliana na Rais kila ukipata jambo unampigia Rais? Uyo rais apigiwe simu na dc,rc,mawaziri,spika,rais wa znz,bado viingozi wa ccm bado viongozi wa ukawa wampigie huyo rais hana kazi??ukisikia wasaidizi ndo hao na kina kinana wakiwamo
Tatizo la kujadili masuala ya siasa na wenye upeo mdogo ktk siasa.sasa hapo unaposema tupo vyama vingi hivyo vyama vingi vimeshinda chaguzi? Huyo katibu mkuu wa ccm ndiyo mwenye serikali ndio msimamizi kama serikali haifanyi kazi lawama kwa chama.kama isingekua Katibu mkuu wa chama Tawala nani...
Wakati unazichoka za mchina leta basi za kwako kwani za mataifa mengine ubavu wa kuzinunua huna hizo za mchina za 1.5 mil.unalia lia utaweza kununua pikipiki ambayo pikipiki 1 ni mil 12.au unaleta story za vijiwe va pombe.
Yaani tukijenga chama chetu chagadema itajifia yenyewe ji tukiomba msajili akifute tutakuwa tumekosea? Maana chama hiki kila utakapo enda madalali wake always huwa WACHAGA kwanini kabila zingine hawana nafasi kama wao?
Na sie tusioataka chadema iwepo madarakani tuendeleze itikadi gani ili kama ikiwezakana hii chagadema ipotee kabisaa kwani itikadi zake si hatuzipendagi kwani ni za kazikazini sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.