Siku hizi naona serikali imeamua kumkandamiza mfanyabiasha kwa sababu imemuekea vikwazo vingi ambavyo vinaweza kumdudisha nyuma mfanyabiasha kwa mfano kunakulipia vitu vingi kama leseni,registration,fire extinguisher,health care,pango,machine ya tra yaani ni vitu vingi ambavyo vinaitaji pesa ...
Kua kama uliopita stage nzuri mkuu mbona kwenye mahotel na mashule wakiwa wanafanya matangazo hawaweki bei zao wanaweka picha na number za simu,biashara haitaki hivyoo mkuu@kamanda moshi
Nauza scannia 113 na volvo kwa bei nzuri kabisa,kwa maelezo zaidi pinga number hii 0787108200.Zipo tanga pia zipo kwenye ubora mzuri kabisa,zipo natrela zake
Hivi kweli inakuingia kichwani bunge la tanzania kutumia lugha ya kigeni kingereza na wakati wananchi wengi hawana ufahamu wa kujua lugha hiyo.Leo katika bunge letu la tanzania kuna semina ya katiba lakini semina hiyo inatolewa kwa lugha ya kiengezea,hii semina je inawahusu wasomi peke au wananchi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.