Recent content by FakeID

  1. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini BAVICHA wanakwenda Dodoma?

    Tukawakumbushe kutii sheria bila shuruti, mtanikuta Dodoma
  2. F

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaendelea kujiimarisha Korogwe vijijini

    Hiki ndio chama kilichopo ndani ya mioyo yao
  3. F

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaendelea kujiimarisha Korogwe vijijini

    Huyo mganga anamalizia muda wake, kachaguliwa na wananchi yeye anaenda kuwakilisha waganga wa kienyeji. Mbunge anayesema mafuta yapandishwe bei ili sukari ipunguzwe hawatakii mema wananchi wake.
  4. F

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaendelea kujiimarisha Korogwe vijijini

    Watu wanajuta sana kuchagua CCM, wanashangaa maisha yanakuwa magumu kila kukicha, wanadai hawamuelewi mkuu hata kidogo
  5. F

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaendelea kujiimarisha Korogwe vijijini

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeanza ziara zake rasmi za kukutana na wanachama katika jimbo hilo kwa lengo la kukagua uhai wa chama, pamoja na kufanya tathmini ya uchaguzi wa mwaka Jana 2015. Ziara hiyo iliyoongozwa na viongozi wa jimbo pamoja na aliyekuwa mgombea wa ubunge...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Meya wa Kinondoni amjibu Rais Magufuli, hakuwa na mwaliko wa kuhudhuria uzinduzi wa Polisi

    Boniface Jacob katika ubora wake, mkuu wa kaya hapa kakosea njia.
  7. F

    JamiiForums Tanzania RPC apiga marufuku mahafali ya CHASO Morogoro

    Ipo siku mnyonge atachoka kuonewa, na hapo hata risasi na mabomu havitakuwa na msaada tena
  8. F

    JamiiForums Tanzania RPC apiga marufuku mahafali ya CHASO Morogoro

    Na: Jafary Ndege: Mratibu Chaso Mkoa~Morogoro [emoji117]Leo nimebahatika kwenda kwenye Ofisi ya Kamanda wa Mkoa Polisi Morogoro baada ya kutuita Viongozi wa CHADEMA Mkoa na Wilaya kuzungumzia Mahafali ya Chaso Mkoa yaliyokuwa yafanyike kesho tarehe 25/06/2016 ambapo Mgeni Rasmi ni Mhe. Edward...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Dereva wa mwendo kasi'

    Dereva wa mwendo kasi hakujiandaa kuwa dereva
  10. F

    JamiiForums Tanzania Mbowe, Lowassa na Sumaye kuteka nchi - Ziara ya Mkoa kwa Mkoa

    Huyu baba alijihisi kama yuko peke yake, ngoja mafundi wamuelekeze namna nchi inavyotakiwa kwenda
  11. F

    JamiiForums Tanzania Mbowe, Lowassa na Sumaye kuteka nchi - Ziara ya Mkoa kwa Mkoa

    Hivi kati ya hotuba ya Kitwanga na Hotuba za Baba Jesca zipi zina afadhali?
  12. F

    JamiiForums Tanzania Mbowe, Lowassa na Sumaye kuteka nchi - Ziara ya Mkoa kwa Mkoa

    Tafadhali mtoa Mada, naomba jina la LOWASA liwe linaandikwa kwa herufi kubwa, maana watanzania wanamkumbuka sana kipindi hiki ambacho taifa linakosa dira sababu ya baba Jesca
  13. F

    JamiiForums Tanzania Kauli za Rais Magufuli: BAVICHA wamtaka aombe radhi kwa kupotosha

    Umelinganisha tamko hili na kauli za Baba Jesca?
  14. F

    JamiiForums Tanzania Kauli za Rais Magufuli: BAVICHA wamtaka aombe radhi kwa kupotosha

    Taifa letu linapita pagumu sana, watanzania watamkumbuka sana Lowasa aliposema elimu elimu elimu
  15. F

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Magufuli anayo siri LUGUMI

    Lugumi ukilitumbua lazima ukutoke uhai
Back
Top Bottom