Mheshimiwa Rais Magufuli aliposema tuendelee kumwombea hakukosea kwa kweli
Huku anahangaika na jinamizi la IPTL, kule Tanesco watu wake tayari na wanaendelea na yao na wanapiga kama kawaida huku wanajua hii kampuni na rushwa ni sawa na samaki na maji
Kiasi makamau wa rais wa hii kampuni...
Hivi ni nani aliyekuja na wazo la passport ya rangi ya blue?
Wazo hilo alikuja nalo nani?
Kama ni passports za Africa au Africa Mashariki je kwanini hakukufanyika consultation kujua kama hili wazo litapita?
Halafu hiyo rangi ya blue ni kiashiria cha nini hasa?
Kwani rangi ya kijani ina...
Ki biashara Tido sasa ni liability.
Bakhressa atakuwa anakumbuka jinsi gani Mkapa alivyomfanyia mwaka 95/96. (watoto wengi wa JAMII FORUMS mtakuwa hamjazaliwa bado)
Sidhani kama ataendelea kumbeba Tido ambaye ni wazi serikali ya Dr. JPM inamwona mkorofi
Bakhressa naye alituhumiwa na serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.