CAG mstaafu, Ludovic Utouh aipamba Serikali ya Magufuli..

CAG mstaafu, Ludovic Utouh aipamba Serikali ya Magufuli..

Interest

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
3,434
Reaction score
7,096
Anakumbukwa kwa utendaji kazi wake makini ambao ulipelekea kuibuka kwa kashfa nzito za ufisadi bungeni... Bwana Utouh anasema anaridhishwa na namna serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. Magufuli inavyosimamia uwajibikaji ambao ni chachu muhimu katika kupambana na rushwa...

Amesifia ongezeko la kodi, nidhamu ya kazi, mapambano dhidi ya ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka...

Akumbushia suala la watumishi hewa na namna alivyoshauri kipindi akiwa CAG lishughulikiwe coz lilikuwa linapoteza mapato..

Ninachojiuliza.. hawa vigogo hawaoni challenges za uongozi wa sasa? Mbona hawazigusi kabisa zaidi ya kusifia tu?

 
Kichwa cha habari kimenifanya niwahi kumwangalia mpambaji kaweka ua gani serikalini kumbe kaisifu.
 
Anakumbukwa kwa utendaji kazi wake makini ambao ulipelekea kuibuka kwa kashfa nzito za ufisadi bungeni... Bwana Utouh anasema anaridhishwa na namna serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. Magufuli inavyosimamia uwajibikaji ambao ni chachu muhimu katika kupambana na rushwa...

Amesifia ongezeko la kodi, nidhamu ya kazi, mapambano dhidi ya ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka...

Akumbushia suala la watumishi hewa na namna alivyoshauri kipindi akiwa CAG lishughulikiwe coz lilikuwa linapoteza mapato..

Ninachojiuliza.. hawa vigogo hawaoni challenges za uongozi wa sasa? Mbona hawazigusi kabisa zaidi ya kusifia tu?


Challenges zitaonekana baada ya Magufuri kutoka kwa sasa hazionekani kabisa!!!
 
Anakumbukwa kwa utendaji kazi wake makini ambao ulipelekea kuibuka kwa kashfa nzito za ufisadi bungeni... Bwana Utouh anasema anaridhishwa na namna serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. Magufuli inavyosimamia uwajibikaji ambao ni chachu muhimu katika kupambana na rushwa...

Amesifia ongezeko la kodi, nidhamu ya kazi, mapambano dhidi ya ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka...

Akumbushia suala la watumishi hewa na namna alivyoshauri kipindi akiwa CAG lishughulikiwe coz lilikuwa linapoteza mapato..

Ninachojiuliza.. hawa vigogo hawaoni challenges za uongozi wa sasa? Mbona hawazigusi kabisa zaidi ya kusifia tu?



Kunguru muoga kaisha ona ya Tido Mhando isiwe shida mtumikie kafiri upate mtaji wako
 
Anatafuta ubalozi huyo! Maana wameshagundua ukimsifia Jombi lazima utunukiwe!
 
Kunguru muoga kaisha ona ya Tido Mhando isiwe shida mtumikie kafiri upate mtaji wako
Tetty na wenzako wenye mawazo ya upinzani uchwara, mnachojua na kukipigia zumari za makelele ni kutaka demokrasia na uhuru usio na mpaka, wakati viongozi mnaowahusudu, hawawaheshimu wenzao na wanawanyima hata punje kidogo tu ya demokrasia na uhuru.

Mifano iko mingi kwa jinsi wanaohama huko wanavyoeleza masahibu wanayoyapata kwa kutofautiana na M/kiti wa chama. La Lowassa kuisifia Serikali, liliwatoa povu hao viongozi. Kwa hiyo sishangai unapomdhihaki CAG mstaafu.
 
Anakumbukwa kwa utendaji kazi wake makini ambao ulipelekea kuibuka kwa kashfa nzito za ufisadi bungeni... Bwana Utouh anasema anaridhishwa na namna serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. Magufuli inavyosimamia uwajibikaji ambao ni chachu muhimu katika kupambana na rushwa...

Amesifia ongezeko la kodi, nidhamu ya kazi, mapambano dhidi ya ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka...

Akumbushia suala la watumishi hewa na namna alivyoshauri kipindi akiwa CAG lishughulikiwe coz lilikuwa linapoteza mapato..

Ninachojiuliza.. hawa vigogo hawaoni challenges za uongozi wa sasa? Mbona hawazigusi kabisa zaidi ya kusifia tu?


Huyo ni mtaalam wa masuala ya fedha na uchumi, si mwanasiasa, anaangalia eneo lake ndani ya serikali ya awamu ya tano na iliopita.
Wewe mwasiasa endelea kupiga porojo za kisiasa
 
Anakumbukwa kwa utendaji kazi wake makini ambao ulipelekea kuibuka kwa kashfa nzito za ufisadi bungeni... Bwana Utouh anasema anaridhishwa na namna serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. Magufuli inavyosimamia uwajibikaji ambao ni chachu muhimu katika kupambana na rushwa...

Amesifia ongezeko la kodi, nidhamu ya kazi, mapambano dhidi ya ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka...

Akumbushia suala la watumishi hewa na namna alivyoshauri kipindi akiwa CAG lishughulikiwe coz lilikuwa linapoteza mapato..

Ninachojiuliza.. hawa vigogo hawaoni challenges za uongozi wa sasa? Mbona hawazigusi kabisa zaidi ya kusifia tu?




Ukiona hivyo wewe unayeona ndo una IQ ndogo!
 
Unategemea asemeje? Kinyume cha hivyo ni mateso, naye niwa hivyo hivyo bora angenyamaza tu!
 
Hataujawahi kuwa na awamu ya ajabu kama hii!!


Wanaosifu wote wanatafuta uteuzi tu.
 
Tetty na wenzako wenye mawazo ya upinzani uchwara, mnachojua na kukipigia zumari za makelele ni kutaka demokrasia na uhuru usio na mpaka, wakati viongozi mnaowahusudu, hawawaheshimu wenzao na wanawanyima hata punje kidogo tu ya demokrasia na uhuru.

Mifano iko mingi kwa jinsi wanaohama huko wanavyoeleza masahibu wanayoyapata kwa kutofautiana na M/kiti wa chama. La Lowassa kuisifia Serikali, liliwatoa povu hao viongozi. Kwa hiyo sishangai unapomdhihaki CAG mstaafu.

Mwengeso ninajua una mtazamo tofauti na mimi na mara nyingi tunagongana hapa ila sintokubali uwe mjinga. Kweli unaweza kujenga hoja ya kusema hata hao wapinzani wanaohama wanasema madhaifu ya huko walikotoka na ukajiaminisha kila baya wanalosema ni kweli!? Hivi inawezekana umchukue mke wa jirani yako halafu aje ndani kwako kisha abaki anamsifia na kumsema vizuri aliyeachana naye? Hii nayo inahitaji elimu ya juu kutambua nyimbo wanazoimba hao wahamaji ni zile zinazomfurahisha mume mpya?
 
Kunguru moga hukimbiza ubawa wake, si walishaambiwa wanawashwawashwa na Mr Visasi.
 
Back
Top Bottom