Haiwez kula kwa diamond hata siku moja asharefuka kifedha hadi kipaji mapedeshee wote wa serkali wabamjua wewe anakujua nani kwa hivyo ulivo hata akifall hawez kufanana na hali yako
Huyo ndo mwanamme aliyejiandaa kuwa baba sio wengine wanazaa bila kujua watawafanyia nini wanao ni wanaume wachache sana wa kitanzania wenye akili kama diamond so diamond keep on going we ni challenge kwa wanaume wengine hasa wasanii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.