Recent content by Faithful wife

  1. F

    Ajali mbaya eneo la Makongo: Watu 18 wahofiwa kupoteza maisha!

    duu ni shidaa. napenda kujua daladala ilikuwa inatoka ubungo kwenda tegeta au toka tegeta kwenda ubungo?
  2. F

    Natafuta soko la mtama mweupe

    Ninatafuta mnunuzi/soko la mtama mweupe..nina tani 150. Ni pm kwa maelezo zaidi
  3. F

    Natafuta soko la mtama Mweupe

    Ninatafuta mnunuzi/soko la mtama mweupe..nina tani 150. Ni pm kwa maelezo zaidi
  4. F

    Nauza mtama Mweupe

    Ninatafuta mnunuzi/soko la mtama mweupe..nina tani 150. Ni pm kwa maelezo zaidi
  5. F

    Andika jina la mnyarwanda aliyesomeshwa na bodi ya mikopo na kurudi kwao kujenga nchi yao.

    Makazini ndo wamejaa mbaya zaidi hadi ofisi za serikali wakati watz kibao wanazunguka na bahasha. Warudi kwao wanauzi sana
  6. F

    Research Assistance

    Acha mawazo ya kizamani, sababu umeona hapo ni mama wa nyumbani unadhani mi ni std 7 eeh nina elimu yangu ya kutosha sijataka kuajiliwa nafanya biashara zangu ikiwemo hii huku namalizia phd yangu hapo mliman. Una swali?
  7. F

    Biashara ya Catering Service

    Thank you ni ushauri mzuri pia nitaanza kuuzulia kwa ukaribu hivyo vikao
  8. F

    Research Assistance

    Namalizia phd yangu soon
  9. F

    Biashara ya Catering Service

    Asante sana kwa ushauri wako ntaufanyia kazi ila swala la ubunifu nadhani ndio muhimu zaidi ili kuvuta wateja
  10. F

    Biashara ya Catering Service

    Mimi ni mama wa nyumbani nafanya biashara ndogo ndogo sasa kamtaji kangu kamekua kidogo nataka nifanye biashara ya catering services hapa Dar maana ni kitu ambacho nimekuwa nakitamani kukifanya muda mrefu.naomba ushauri kwa yeyote mwenye experience ya hii biashara nataka hasa kujua changamoto...
  11. F

    Research Assistance

    Yeyote anayehitaji research assistance ya level zote ya shule au hata ya biashara ni PM tafadhali.
  12. F

    Mimba ya mke wangu inanitesa

    Huo ndo uwanaume, wakati mwingine wanawake tunajiendekeza tu hamna cha sababu ya mimba wala nini. Mi mimba zangu zote sijafanya ujinga huo unamsumbua mtoto wa mwenzio hivyo kisa nini? Mimba sio ugonjwa bwana
  13. F

    Hapana, hii ni laana!!

    Yaani ni laana, iliyopitiliza halafu ni watu wazima sijui wanaifunza nini jamii mi nimewaona hapa tangi bovu na walitokea kawe yaani wapo uchi kabisa. Mungu atusamehe
  14. F

    offisi ipi nilipie nipate ISBN ya Kitabu, please, mwenye address

    Nenda maktaba ya taifa posta utapata ndio shirika pekee linalotoa hizo ISBN na ISSN hapa tanzania.
Back
Top Bottom