Recent content by Fair

  1. Fair

    CHADEMA kuweni makini na Tumaini Makene

    Nashangaa huyu Mtu mpaka sasa yupo hapo. Patrobas Katambi tuliwaambia hapa mkadharau. Kazi ya Makene ni moja, kuhakikisha habari za CHADEMA haziwafikii wananchi kwa wakati. Safari hii mnajua hamtakuwa na coverage na vyombo vya habari, lakini bado mmepwaya kwenye uwanjaa huu.
  2. Fair

    Naiona Tanzania Ngumu Kiuchumi 2021-2025

    Nadhani hata yeye amekwisha lijua hili. Watu wataumizwa. Naona sheria inapelekwa bungeni kwa kuweka kinga kwa Rais, Makam, Spika, Jaji mkuu na PM kutoshtakiwa pale watakapo vunja katiba.
  3. Fair

    Naiona Tanzania Ngumu Kiuchumi 2021-2025

    Ni dhahiri sasa mambo hayatakuwa sawia huko mbeleni. Sera tulizo nazo hazioneshi dalili za matumaini ya uchumi wetu. Kwa sasa Serikali imefikia kikomo cha makusanyo, na hali inavyoendelea ukizingatia mdororo wa uchumi uliosababishwa na janga la Corona, naiona grafu ya makusanyo ikishuka kwa...
  4. Fair

    Katika kipindi hiki wataalamu wa maabara ya Taifa walipaswa kutiwa moyo na sio kusimangwa

    Inasikitisha sana kuona watu ambao wameweka rehani maisha yao katika kupima virusi hivi wakisimangwa na kukejeliwa. Kiukweli sikupendezwa na hotuba ya Rais kuwasimanga wataalam hawa wanavyo pambana muda wote. Ugonjwa huu umejaza hofu watu, tunasikia watu Nchi za wenzetu wanavyokufa. Lakini...
  5. Fair

    Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

    Wanabodi, Asalam aleikum! Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana. Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea. Katika clip hii ambayo Mama mmoja...
  6. Fair

    Huu Msafara wa Rais Magufuli sijawahi uona

    Leo Msafara wa Rais wa wanyonge anayejali kodi za wananchi sijapata uona tangu nizaliwe na Nchi nilizowahi tembelea. Nimehesabu Magari yamefika 53. Zote ni V8. Noma sana.
  7. Fair

    Wizara ya Mifugo haina Waziri, ina mzururaji, mkurupukaji na mpenda kiki

    Mkuu unatumia ubongo gani kufikiri? Unatakannitoe mapendekezo kwamba Waziri aboreshe minada na machinjio? Mbona majibu yapo kwenye mada?
  8. Fair

    Wizara ya Mifugo haina Waziri, ina mzururaji, mkurupukaji na mpenda kiki

    Hili ni tatizo sana, urasimu mwingi. Wizara inakusabya fedha nyingi kwenye minada na machinjio, lakini jaribu kutembelea minada yetu na machinjio. Anashindwa hata kuomba bajeti ya kuboresha minada? Hivi wizara inakaa inavumilia harufu kali zinazotesa wananchi kwenye machinjio? Nasikitika...
  9. Fair

    Wizara ya Mifugo haina Waziri, ina mzururaji, mkurupukaji na mpenda kiki

    Imefika wakati sasa acha tuseme ukweli. Katika kipindi cha miaka 4 ya awamu hii, hii ndio wizara ambayo hata ikiulizwa imefanya nini huwezi pata majibu zaidi ya blaa blah. Wizara hii kwa miaka yote hii, imepata Waziri asiye na uwezo wa kuongoza wizara, asiye na dira, hana mipango ya kuikuza...
  10. Fair

    Hizi ndizo Taasisi zinazokwamisha Biashara ya Mazao ya Mifugo(Maziwa &Nyama)

    Hakuna biashara pasua kichwa kama kujihusisha na biashara hii. Ukianza biashara ya kuchakata bidhaa za mifugo kama maziwa na nyama, kuuza wanyama kama ng'ombe na wanyama wengine basi jua utafilisika tu. Ni wafanyabiashara wachache sana wanaofaidika na biashara za mifugo na bidhaa zake, na wengi...
  11. Fair

    Afisa Msaidizi wa Forodha wa TRA apandishwa kizimbani kuelezea utajiri wake usioendana na kipato chake

    Mkuu, Kuna taasisi zingine za serikali zina marupurupu kiasi kwamba unaweza usiguse mshaharaa.. Hata hivyo, anaweza kuwa kajipatia mali hizo kupitia biashara zake. Watumishi wa Umma wa ngazi kama yake huwa hawaorodheshi mali zao. Wanaopaswa kufanya hivyo ni viongozi wa kubwa serikalini Sent...
  12. Fair

    Kiukweli kabisa, DC Jerry Murro, yuko vizuri!, ni visionary leader mwenye vision, mission, uwezo na kipaji. Anastahili kuwa RC, atakuwa kama Mtaka!.

    Hahahahaah.... Njaa mbaya aisee, Magu mpe huyu ndugu yetu u-DC, hizi miambili mbili zitamtoa rohoo Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Fair

    Panapofuka moshi panaficha moto...

    Piga simu fire wakusaidiee.... Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Fair

    SPIKA: Tumesitisha kufanya kazi na CAG. Panga pangua Kamati za Bunge yaanza

    Hiyo haimuhusu CAG, Kama Bunge mmeshundwa kazi Ondokeni na Nchi iwe na serikali na Mahakama Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Fair

    Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

    Balaa hili Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom